Kuimarisha Utayarishaji wa Tsunami katika Hali ya Hewa Inabadilika – Masuala ya Ulimwenguni

Ishara ya onyo la tsunami katika ufuo wa Pantai Bercak huko Pacitan, Java Mashariki, Indonesia. Rangi mahiri za ishara hiyo huonekana wazi, na kuhakikisha inavutia usikivu wa wageni. Umoja wa Mataifa utaadhimishaSiku ya Uelewa wa Tsunami Duniani. mnamo Novemba 5. Credit: Unsplash/Jeffrey Thümann Maoni na Sanjay Srivastava – Temily Baker – Nawarat Perawattanasaku (bangkok, Thailand)…

Read More

Tanzania Olympic Committee (TOC) General Election Set for December 14, 2024/Uchaguzi Mkuu wa Kamati ya Olympic Tanzania (TOC) Kufanyika Desemba 14, 2024

The Election Commission of the Tanzania Olympic Committee (TOC) has officially announced that its general election will take place on December 14, 2024.  With a large turnout of candidates expected, application forms for those seeking to run will be available starting tomorrow, Tuesday, November 5, 2024, at designated offices on the mainland and Zanzibar. The…

Read More

Wabunge wataka Serikali iondoe umaskini wa mtu mmojammoja

Dodoma. Wabunge wameitaka Serikali kujikita katika kuondoa umaskini wa mtu mmojammoja. Mbali na hao, Mbunge wa Kuteuliwa (CCM), Shamsi Vuai Nahodha akisema na kutoa mifano ya baadhi ya matumizi ya Serikali ambayo badala ya kusaidia kuongeza tija yanaibebesha mzigo mkubwa. Wabunge pia  wameonyesha kukerwa kwa  kuingizwa katika Mpango wa Maendeleo wa Taifa miradi ya Liganga…

Read More

MKUTANO WA 34 WA BARAZA LA KISEKTA LA MAWAZIRI LINALOSHUGHULIKIA MASUALA YA EAC NA MIPANGO WAANZA ARUSHA

Mkurugenzi wa Sera na Mipango katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bw. Justin Kisoka akichangia kwenye Mkutano 34 wa Baraza la Kisekta la Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki linaloshughulikia masuala ya Afrika Mashariki na Mipango unaofanyika jijini Arusha. Mkurugenzi wa Miundombinu ya Uchumi na Huduma za Jamii Mhandisi Abdillah…

Read More

Azania yawaita Watanzania kuchangamkia hati fungani

Dar es Salaam. Kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwake, Benki ya Azania imewaita Watanzania kuchangamkia fursa ya ununuzi wa hatifungani (bondi) zake, ambapo kiasi cha chini itakuwa ni Sh500,000. Hatifungani hiyo iliyopewa jina la “Bondi Yangu” inalenga kuuza hati fungani zenye thamani ya Sh30 bilioni ili kuiwezesha Azania kupata fedha za kutekeleza miradi mbalimbali…

Read More

MAREMA MPYA KUPAMBANA NA MITAJI – ELISHA MNYAWI

  Na Mwandishi wetu, Mirerani MWENYEKITI mpya wa wachimbaji wa madini Mkoani Manyara (MAREMA) Elisha Nelson Mnyawi, amesema wachimbaji wanakabiliwa na ukosefu wa mitaji ya kuendesha shughuli zao uchimbaji hali inayosababisha waendelee kuwa masikini licha ya kuzungukwa na utajiri mkubwa wa madini mbalimbali. Mwenyekiti huyo mpya wa MAREMA Elisha Nelson Mnyawi ameyasema hayo akizungumza mji…

Read More

KATIBU MKUU WA CCM AKUTANA NA KATIBU MKUU WA CRC

KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi amekutana na Mheshimiwa Youssoufa Mohamed Ali,Waziri wa Ulinzi ambaye ni Katibu Mkuu wa Chama Tawala Comoro cha CRC ambaye pia ni Katibu wa Rais wa Umoja wa Visiwa vya Comoro na kuzungumzia kuimarisha uhusiano baina ya vyama hivyo ikiwa ni pamoja na kutoa fursa…

Read More

ZAIDI YA WANANCHI 32,000 WA VIJIJI VYA WILAYA ZA MOROGORO NA MVOMERO KUANZA KUPATA MAWASILIANO

Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mheshimiwa Mhandisi MaryPrisca Mahundi (Mb), amesema Serikali inayoongozwa na Dkt. Samia Suluhu Hassan imedhamiria kuboresha mawasiliano hususani maeneo ya vijijini ili kuwaunganisha wananchi kwa lengo la kuiwezesha nchi kufikia uchumi wa kidijitali. Mheshimiwa Mahundi ameyasema hayo Mkoani Morogoro alipofanya ziara ya kikazi, kukagua minara iliyojengwa katika…

Read More