Wavuvi wadogo wadogo kwenye pwani ya Kerela, India wakiwa na aina mbalimbali za samaki na kamba. Credit: Aishwarya Bajpai/IPS na Aishwarya Bajpai (cali, Colombia na
Day: November 5, 2024

Mwanza. Kesi inayomkabili dereva wa Basi la Asante Rabi, Shedrack Swayi (37) anayedaiwa kusababisha ajali iliyoua watu tisa na kujeruhi 53 mkoani Mwanza imekwama kuendelea

Dodoma. Mkazi wa Mtaa wa Oysterbay Kata ya Dodoma Makulu jijini Dodoma Selina Jafar (30) amedaiwa kujifungua na kumuua mtoto kwa kumzamisha ndani ya ndoo

Mbeya. Licha ya changamoto wanazopitia, wanandoa Upendo Tebela na mumewe Andindilile Mwakifumbwa wanaendelea kuishi kwa matumaini, wakiwa na imani kuwa kesho yao itakuwa bora zaidi.

Na Jane Edward, Arusha Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amewataka Makamanda wa Kanda na Wahifadhi Wakuu wa Mashamba

Dar es Salaam. Tanzania imepiga hatua kubwa katika kuboresha uwezo wake wa kukopesheka. Hii ni kutokana na viwango vipya vya ukadiriaji wa mikopo vilivyotolewa na

Na Said Mwishehe, Michuzi TV TANZANIA inatarajia kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Kikanda kwa nchi za Afrika Mashariki na Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa

-Lengo ni kuongeza uzalishaji Na Esther Mnyika, Pwani Wadau wa masuala ya kilimo wametakiwa kujitokeza kutoa elimu ya uzalishaji mbegu bora kwa wakulima wa mpunga

Dar es Salaam. Serikali ya Guinea ya Ikweta imeanza kuweka vikwazo kwa matumizi ya mtandao wa WhatsApp nchini humo, ikilenga kuzuia raia kupakua na kusambaza

MWANAMUZIKI Ferdnand Ndikuriyo(27) maarufu kama Chuma wa Chuma amepandishwa katika kizimba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu shtaka moja la kuishi nchini bila kibali.