Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: November 5, 2024

  • Home
  • 2024
  • November
  • 5
Kimataifa

Wavuvi Wadogo Wanadai Haki, Kutambuliwa katika COP16 – Masuala ya Ulimwenguni

November 5, 2024 Admin

Wavuvi wadogo wadogo kwenye pwani ya Kerela, India wakiwa na aina mbalimbali za samaki na kamba. Credit: Aishwarya Bajpai/IPS na Aishwarya Bajpai (cali, Colombia na

Read More
Habari

Dereva ajali iliyoua tisa Mwanza augua ghafla, kesi yapigwa kalenda

November 5, 2024 Admin

Mwanza. Kesi inayomkabili dereva wa Basi la Asante Rabi, Shedrack Swayi (37) anayedaiwa kusababisha ajali iliyoua watu tisa na kujeruhi 53 mkoani Mwanza imekwama kuendelea

Read More
Habari

Adaiwa kujifungua, kumzamisha mtoto kwenye maji

November 5, 2024 Admin

Dodoma.  Mkazi wa Mtaa wa Oysterbay Kata ya Dodoma Makulu jijini Dodoma Selina Jafar (30) amedaiwa kujifungua na kumuua mtoto kwa kumzamisha ndani ya ndoo

Read More
Habari

Mume, mke wasioona wasimulia wanavyoendesha maisha yao

November 5, 2024 Admin

Mbeya. Licha ya changamoto wanazopitia, wanandoa Upendo Tebela na mumewe Andindilile Mwakifumbwa wanaendelea kuishi kwa matumaini, wakiwa na imani kuwa kesho yao itakuwa bora zaidi.

Read More
Habari

MAKAMANDA TFS WATAKIWA KUTUMIA TEHAMA KUBORESHA UTENDAJI KAZI

November 5, 2024 Admin

    Na Jane Edward, Arusha Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amewataka Makamanda wa Kanda na Wahifadhi Wakuu wa Mashamba

Read More
Habari

Viwango vya kukopesheka Tanzania vyaimarika

November 5, 2024 Admin

Dar es Salaam. Tanzania imepiga hatua kubwa katika kuboresha uwezo wake wa kukopesheka. Hii ni kutokana na viwango vipya vya ukadiriaji wa mikopo vilivyotolewa na

Read More
Habari

TANZANIA KUWA MWENYEJI MKUTANO WA KIKANDA KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA SADC UNAOHUSU MATUMIZI YA NISHATI

November 5, 2024 Admin

Na Said Mwishehe, Michuzi TV TANZANIA inatarajia kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Kikanda kwa nchi za Afrika Mashariki na Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa

Read More
Habari

Wadau wahimizwa kujitokeza kutoa elimu ya uzalishaji mbegu bora za mpunga kwa wakulima

November 5, 2024 Admin

-Lengo ni kuongeza uzalishaji Na Esther Mnyika, Pwani Wadau wa masuala ya kilimo wametakiwa kujitokeza kutoa elimu ya uzalishaji mbegu bora kwa wakulima wa mpunga

Read More
Habari

Sakata la Engonga kuhusishwa na video za ngono lachukua sura mpya

November 5, 2024 Admin

Dar es Salaam. Serikali ya Guinea ya Ikweta imeanza kuweka vikwazo kwa matumizi ya mtandao wa WhatsApp nchini humo, ikilenga kuzuia raia kupakua na kusambaza

Read More
Habari

Mwanamuziki Chuma wa chuma Kizimbani kwa kuishi nchini bila kibali

November 5, 2024 Admin

MWANAMUZIKI Ferdnand Ndikuriyo(27) maarufu kama Chuma wa Chuma amepandishwa katika kizimba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu shtaka moja la kuishi nchini bila kibali.

Read More

Posts pagination

1 2 … 11 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.