Harris amempongeza Trump kwa njia ya simu – DW – 06.11.2024

Msaidizi mwandamizi wa Harris ambae hakutajwa jina alisema mgombea wa Democratic “amejadili na Trump umuhimu wa kukabidhiana madaraka kwa amani na kuwa rais wa Wamarekani wote.” Donald J. Trump ndiye rais mpya wa Marekani, akishinda kura za kutosha za wajumbe maalum wa majimbo (270 zinahitajika ili kushinda) kujitangazia ushindi wa uchaguzi wa 2024. Alishinda majimbo muhimu kama…

Read More

Kuelekea uchaguzi Serikali za mitaa viongozi wa dini waguswa

Mwanza. Zikiwa zimesalia siku 21 kabla ya kufanyika kwa uchaguzi wa serikali za mitaa nchini, viongozi wa dini wametakiwa kujitenga na kutoonyesha upendeleo kwa vyama vya siasa wakati wakihamasisha wananchi kushiriki katika uchaguzi huo. Uchaguzi wa serikali za mitaa umepangwa kufanyika Novemba 27, 2024, ambapo Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza siku hiyo kuwa mapumziko ili…

Read More

Mbunge ataka mihimili ya dola iogopane

Dodoma. Suala la matumizi mazuri ya Serikali limeendelea kupigiwa kelele na wabunge huku Mbunge wa Mwanga (CCM), Joseph Tadayo akitaka mihimili mitatu ya dola kukaa kwenye mazingira ya kuogopana isiwe na urafiki wa kupitiliza. Wabunge wameyasema hayo leo Jumatano, Novemba 6, 2024 wakati wakijadiliana na kushauri kuhusu Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo ya Taifa kwa…

Read More

Kizungumkuti cha maji bado pasua kichwa

Dar/Mikoani. Kilio cha ukosefu wa huduma ya maji kimeendelea kusikika nchini, huku baadhi ya wananchi wakiandamana kupaza sauti wakitaka mamlaka husika kutatua kero hiyo. Wakati wananchi wakilalama kukosa maji, Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ameshachukua hatua kadhaa kutatua changamoto hizo ikiwamo kuwasimamisha watendaji wa mamlaka za maji na kutembelea maeneo ya uzalishaji wa maji nchini….

Read More

MAKAMU MWENYEKITI SHIWATA SULEIMAN KISSOKI AFARIKI DUNIA ,AZIKWA DAR

Na Mwandishi Wetu ALIYEKUWA Makamu Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA), Suleiman Kissoki amefariki usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake Tabata jijini Dar es Salaam. Akizungumza na mwandishi wa habari , Katibu Mkuu wa Shiwata, Michael Kagondela amesema hadi jana jioni, Kissoki alikuwa ofisini Ilala Bungoni akiendelea na majukumu yake. Kagondela amesema  marehemu huyo…

Read More

Sababu tatu kupanda nauli za boti Dar-Zanzibar

Unguja. Mamlaka ya Usafiri Baharini (ZMA), imetaja sababu tatu za kupandisha bei ya nauli ya boti za mwendokasi zinazofanya safari zake kati ya Unguja na Dar es Salaam. Nauli hiyo imeongezwa katika huduma hiyo  kwa daraja la kawaida kutoka Sh30,000 hadi Sh35,000. Sababu hizo ni kuongeza kwa gharama za mafuta, matumizi ya Dola ya Marekani,…

Read More