Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: November 7, 2024

  • Home
  • 2024
  • November
  • 7
Habari

Tanzania kusaka wawekezaji wa Saudi Arabia

November 7, 2024 Admin

Dar es Salaam. Tanzania inatarajiwa kutumia siku tatu kutafuta wawekezaji kutoka nchi ya Saudi Arabia ambao watakuwa tayari kuweka fedha zao katika sekta saba ikiwemo

Read More
Habari

Dk Mwigulu ambananisha Mpina bungeni, akubali kufuta kauli

November 7, 2024 Admin

Dodoma. Wakati Mbunge wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina akirejea bungeni na kuonyesha uwepo wake, Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amembananisha kuhusu kauli yake kuwa

Read More
Habari

Vijana 1,000 kutolewa kwenye umaskini, utegemezi mitaani Mwanza

November 7, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Mwanza Vijana 1,000 walio mtaani ambao hawasomi wanatarajia kunufaika kiuchumi kwa kupata stadi za maisha, elimu ya kusimamia biashara na ujasiriamali, kukuza

Read More
Habari

Wakulima wadogo wa mpunga watakiwa kutumia wataalamu kuboresha uzalishaji

November 7, 2024 Admin

Na Esther Mnyika, Pwani Wakulima wadogo wa mpunga nchini wametakiwa kushirikiana na wataalamu wa kilimo walioko kwenye ngazi ya vijiji na kata, ikiwemo maafisa kilimo

Read More
Habari

Watu 10 kutoa ushahidi kesi ya kujipatia Sh661 mil za vyuma chakavu

November 7, 2024 Admin

Dar es Salaam. Serikali imesema inatarajia kuwa na mashahidi 10 katika kesi ya  kujipatia Sh661 milioni kwa njia ya udanganyifu inayomkabili Mkurugenzi wa Kampuni ya

Read More
Michezo

Yanga yaitisha kikao cha dharura usiku, Gamondi kikaangoni

November 7, 2024 Admin

Saa chache baada ya Yanga kupoteza kwa mabao 3-1 dhidi ya Tabora United, kimeitishwa kikao kizito cha Kamati ya Utendaji cha pili kwa siku kikimjadili

Read More
Habari

Jukwa la Wahariri lamtumia salamu Jerry Silaa

November 7, 2024 Admin

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) limesema haliridhishwi na mwenendo wa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa

Read More
Habari

Kongamano la kimataifa la madini kufanyika Dar

November 7, 2024 Admin

Dar es Salaam. Zaidi ya washiriki 1,000 wakiwemo wafanyabiashara, wachimbaji wa madini wakubwa na wadogo wanatarajia kuhudhuria kongamano la kimataifa la madini linalotarajiwa kufanyika kwa

Read More
Habari

Kina cha migodi, mabadiliko ya teknolojia changamoto sekta ya madini

November 7, 2024 Admin

Dar es Salaam. Uhaba wa wataalamu wa kuendesha mitambo mikubwa ya migodini imetajwa kuwa changamoto inayoikabili sekta ya uchimbaji madini kwa sasa nchini. Hali hiyo

Read More
Habari

Lema aamuru maofisa Takukuru kutoka ukumbini semina ya wagombea wa Chadema

November 7, 2024 Admin

Arusha. Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amewafukuza ukumbini maofisa watatu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kwenye semina ya

Read More

Posts pagination

1 2 … 11 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.