Tanzania kusaka wawekezaji wa Saudi Arabia

Dar es Salaam. Tanzania inatarajiwa kutumia siku tatu kutafuta wawekezaji kutoka nchi ya Saudi Arabia ambao watakuwa tayari kuweka fedha zao katika sekta saba ikiwemo mafuta na gesi ambayo bado haijanufaisha nchi ipasavyo. Katika siku hizo tatu za kuzitangaza fursa za uwekezaji, ujumbe wa wafanyabiasha zaidi ya 100 ikiwemo watumishi mbalimbali wa Serikali utakuwa ni…

Read More

Vijana 1,000 kutolewa kwenye umaskini, utegemezi mitaani Mwanza

Na Mwandishi Wetu, Mwanza Vijana 1,000 walio mtaani ambao hawasomi wanatarajia kunufaika kiuchumi kwa kupata stadi za maisha, elimu ya kusimamia biashara na ujasiriamali, kukuza mitaji na kutumia majukwaa ya kidijitali kukuza biashara zao kupitia mradi wa Vijana Elimu Malezi na ajira (VEMA) unaolenga kuwawezesha kiuchumi. Hayo yamebainishwa jijini hapa katika kikao cha kujadili mrejesho…

Read More

Jukwa la Wahariri lamtumia salamu Jerry Silaa

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) limesema haliridhishwi na mwenendo wa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa kwa kile walichodai kuwa amekuwa hatoi ushirikiano. Kauli hiyo imetolewa leo Novemba 7,2024 na Mwenyekiti wa TEF, Deodatus Balile, wakati wa mkutano mkuu wa nane wa jukwaa hilo unaofanyika jijini…

Read More

Kongamano la kimataifa la madini kufanyika Dar

Dar es Salaam. Zaidi ya washiriki 1,000 wakiwemo wafanyabiashara, wachimbaji wa madini wakubwa na wadogo wanatarajia kuhudhuria kongamano la kimataifa la madini linalotarajiwa kufanyika kwa siku tatu nchini. Kongamano hilo litakalofanyika jijini Dar es Salaam kuanzia Novemba 19 hadi 21, 2024 litahudhuriwa na mabalozi wanaowakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali duniani na wale wanaowakilisha mataifa ya…

Read More