
OAUT YAJIPANGA KUZALISHA WANAFUNZI BORA
Mwandishi wetu CHUO Kikuu cha Umoja wa Afrika Tanzania (UAUT) kimesema kimejipanga kuzalisha wanafunzi waliopikwa vizuri ili waweze kuhitimu wakiwa wamebobea katika nyaja mbalimbali. Hayo yamebainishwa Jijini Dar es salaam mapema leo Novemba 9,2024 na Mwenyekiti wa Baraza la UAUT ,Profesa Rwekaza Mukandala katika mahafali ya tisa ya Chuo hicho tangu uongozi mpya chini ya…