Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: November 9, 2024

  • Home
  • 2024
  • November
  • 9
Habari

OAUT YAJIPANGA KUZALISHA WANAFUNZI BORA

November 9, 2024 Admin

Mwandishi wetu CHUO Kikuu cha Umoja wa Afrika Tanzania (UAUT) kimesema kimejipanga kuzalisha wanafunzi waliopikwa vizuri ili waweze kuhitimu wakiwa wamebobea katika nyaja mbalimbali. Hayo

Read More
Habari

π‚π‚πŒ πƒπŽπƒπŽπŒπ€ πŒπ‰πˆππˆ πŒπ†π”π” πŠπ–π€ πŒπ†π”π” 𝐍𝐀 πŒπ€ππ€π‹πŽπ™πˆ πŠπ”π„π‹π„πŠπ„π€ 𝐔𝐂𝐇𝐀𝐆𝐔 𝐖𝐀 π’π„π‘πˆπŠπ€π‹πˆ 𝐙𝐀 πŒπˆπ“π€π€

November 9, 2024 Admin

Uongozi wa CCM Wilaya ya Dodoma Mjini chini ya Mwenyekiti Charles Mamba umeendelea na mikutano ya mfufulizo na mabalozi wote 2000 wa Jimbo la Dodoma

Read More
Habari

Wabunge watoa kauli hujuma SGR

November 9, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wabunge wameliagiza Shirika la Reli Tanzania (TRC), kufunga kamera za ulinzi mara moja maeneo yote ya reli ili kukabiliana na watu wanaohujumu

Read More
Habari

Sh10,000 yamweka bodaboda matatani, adaiwa kumchoma moto mtoto

November 9, 2024 Admin

Mbeya. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia dereva bodaboda, Juma Afyusisye (38), mkazi wa Iwambi jijini humo kwa kosa la kumjeruhi kwa kumchoma moto

Read More
Magazeti

PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO NOVEMBA 10,2024

November 9, 2024 Admin

Home Β» PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO NOVEMBA 10,2024 About the author

Read More
Habari

Askari auawa na tembo, mmoja akijeruhiwa

November 9, 2024 Admin

Tarime. Askari wanyamapori amefariki dunia, huku mtu mmoja akijeruhiwa baada ya tembo kuvamia Kijiji cha Murito wilayani Tarime, mkoani Mara wakitokea katika Hifadhi ya Taifa

Read More
Habari

PEOPLE DEVELOPMENT FORUM, JENGA HUB WAZINDUA MRADI WA β€˜MITANDAO SALAMA KWA WATOTO

November 9, 2024 Admin

Β  Β  Na Mwandishi wetu – Dar es Salaam. Peoples Development Forum (PDF), kwa kushirikiana na Jenga Hub, imezindua Mradi wa Mitandao Salama kwa Watoto

Read More
Habari

Haya ndio majukumu aliyokuwa akiyafanya Mafuru

November 9, 2024 Admin

Dar es Salaam. Asubuhi ya leo ilitokea taarifa iliyoacha simanzi kwa wengi, Β nayo ni ya kifo cha Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango,Β  Lawrance Mafuru

Read More
Habari

Upinzani wadai kuchezewa rafu serikali za mitaa, wengine wafurahia uteuzi

November 9, 2024 Admin

Mwanza. Ikiwa imepita siku moja tangu wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi kuteua wagombea uenyekiti kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024, mapokezi ya

Read More
Habari

Serikali kuweka sheria maalumu kwa wataalamu wa usafirishaji

November 9, 2024 Admin

Dar es Salaam. Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesema wizara hiyo, inaendelea na mchakato wa kuweka sheriaΒ  mahususi ya usimamizi wa watalaamu wa usafirishaji

Read More

Posts pagination

1 2 … 6 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.