Rais Biden na Trump kujadili vita vya Ukraine na mengineyo – DW – 10.11.2024

Mshauri wa masuala ya Usalama wa Taifa Jake Sullivan amesema hayo jana Jumapili na kuongeza kuwa Biden anatarajiwa kumtolea wito Trump kutoiacha Ukraine. Kwenye mahojiano na kituo cha utangazaji cha CBS, Sullivan amesema ujumbe muhimu wa Biden utajikita katika makabidhiano ya amani ya madaraka, lakini pia atamweleza Trump kile kinachoendelea barani Ulaya, Asia na Mashariki ya…

Read More

NG’ARISHA JUMAPILI YAKO KWA KUBASHIRI NA MERIDIANBET

KAMA wikiendi yako ilipata ukungu kidogo haijamalizika na una nafasi ya kuing’arisha leo Jumapili na ikamalizika kibabe kupitia Meridianbet, Kwani mabingwa wamemwaga Odds bomba kwenye michezo ya leo ambapo wanakupa fursa ya kupiga mkwanja mnene. Kuanzia pale kwenye ligi pendwa kabisa duniani ligi ya Uingereza itapigwa michezo mikali, Ligi kuu ya Hispania La Liga, nchini…

Read More

Ujumbe Unaosambaa juu ya M-Koba ni UZUSHI na UONGO

  Vodacom Tanzania na Benki ya TCB wameujulisha umma na wateja wao kwamba ujumbe wa hivi karibuni kwenye mitandao ya kijamii unaodai kwamba huduma ya M-Koba inakaribia kufungiwa kutokana na madai ya madeni yasiolipwa kwa Serikali ni wa uongo na uzushi unaokusudia kuleta taharuki kwenye jamii. Katika taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari Vodacom na…

Read More

Majaliwa awataka viongozi vyama vya siasa kulinda amani

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka viongozi wa vyama vya siasa kuwa vinara katika kulinda amani na kukemea viashiria vya uvunjifu wa amani hasa wakati huu wa kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Ametoa kauli hiyo leo Novemba 10,2024 wakati akifungua kongamano la umuhimu wa amani lililoandaliwa na Jumuiya ya Waislamu…

Read More

Bunge lashauri kufungwa CCTV kamera reli ya SGR

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Kamati za Kudumu za Bunge za miundombinu na Bajeti zimelishauri Shirika la Reli nchini (TRC) kufunga kamera za usalama (CCTV) na kujenga uzio katika njia ya reli ya SGR ili kudhibiti wahalifu wanaohujumu miundombinu yake. Ushauri huo umetolewa leo Novemba 10,2024 na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya…

Read More

Sababu 10 zatajwa changamoto afya ya akili kwa wanaume

Dar es Salaam. Wataalamu wa saikolojia tiba wamesema ongezeko la matukio ya kuua, kujiua na changamoto ya afya ya akili miongoni mwa wanaume, inachangiwa na ukimya miongoni mwa jinsia hiyo. Wameeleza umuhimu wa jamii kuwapa wanaume mazingira salama ya afya zao za akili, ikiwemo ‘kufunguka’ bila kuhukumiwa, ili kuwalinda na matokeo hasi ya msongo wa…

Read More

Lina Tour yatibua kambi ya timu ya taifa

TIMU ya Taifa ya Wanawake ya Gofu, inaendelea na mazoezi kujiandaa na  Mashindano ya Ubingwa wa Gofu Afrika, yatakayofanyika mjini Agadir Morocco, Novemba 28 hadi 30 mwaka huu. Wacheza gofu wa timu hiyo wanaendelea na mazoezi yao katika viwanja vya Arusha na Dar es Salaam gymkhana baada ya kuahirishwa kwa michuano ya Lina PG Tour …

Read More

Biashara vyuma chakavu inavyochochea uhalifu

Dar/Mikoani. Uanzishaji wa viwanda vya kurejeleza vyuma na kutengeneza bidhaa mbalimbali zikiwamo nondo, umeongeza mahitaji ya chuma chakavu mitaani. Hali hiyo imewafanya watafutaji wa bidhaa za vyuma kutumia mbinu mbalimbali zikiwemo za kihalifu –wizi wa miundombinu barabarani, vifaa vya majumbani na uvunjaji wa misalaba makaburini. Si ajabu kupita maeneo ya barabarani na kuona vyuma vya…

Read More