Wawili wakamatwa na Polisi tuhuma za mauaji ya mtoto wa miezi minne Bukoba

Renatha Kipaka, BUKOBA Jeshi la Polisi Mkoa wa Kagera linawashikiria watuhumiwa wawili wa mauaji ya mtoto wa miezi minne yaliyotokea Novemba 9,2024 ,katika kijiji cha Itahwa Kata ya Kalabagaine wilayani Bukoba mkoani Kagera. Kamanda wa Polisi mkoani hapo Blasius Chatanda amesema,wakiwa katika maandalizi ya kutenda tukio hilo mmoja wa watuhumiwa hao aitwaye Maria Christian( 62)…

Read More

Cheza 100 Super Icy Ushinde Kitita kizito

LEO ndio ile siku ambayo unaweza kushinda kitita cha kutosha kwani wataalamu wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet kupitia Sloti ya 100 Super Icy inaweza kukuwezesha kushinda mzigo wa kutosha. 100 Super Icy ni mchezo mpya wa sloti wenye kusisimua kutoka kwa watengenezaji wa michezo ya kasino ya mtandaoni kampuni ya Expanse Studios Tunakushauri kucheza mchezo huu wa kasino unakupatia…

Read More

Kwenye hili la mauaji, Tume huru itueleze ukweli

Watu wa Zanzibar walipata mshituko mwishoni mwa wiki kwa kusikia taarifa za kuuawa kwa watu wawili na wengine kujeruhiwa katika Kijiji cha Kidoti, kilichopo kaskazini Unguja. Tukio hilo limekuwa na taarifa za kila aina katika vijiwe, vyombo vya habari, mitandaoni na kutoka Jeshi la Polisi Zanzibar. Huyu anasema hili, yule anasema lile, yaani kwa muhtasari…

Read More

“HABARI YA UPENDO, USHIRIKIANO, UMOJA NA MSHIKAMANO VIMETOWEKA KWA SIKU ZA HIVI KARIBUNI” – CP TENGA

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma IMEELEZWA Kuwa swala la Upendo, amani, mshikamano na ushirikiano ni tunu ambayo inaonekana kwa siku za hivi karibuni inapotea. Hayo yamebainishwa na Kamishna wa Sheria na Uendeshaji wa Magereza Nchini (CP) Nicodemus Tenga alipomuwakilisha Mkuu wa Jeshi la Magereza katika mkutano wa maafisa na askari waliofanya mafunzo ya awali pamoja…

Read More

Wamarekani hawajawa tayari kuongozwa na Rais mwanamke

Wapenzi wa safu hii, niko jijini Washington D.C, mji mkuu wa Marekani, pamoja na mambo mengine nimepata fursa ya kuushuhudia uchaguzi wa Marekani, nchi inayoitwa “The Biggest Democracy” kumaanisha kuwa ni demokrasia kubwa kwa sababu ilipata uhuru wake Julai 4, 1776. Wagombea wakuu ni Kamala Harris anayewakilisha chama cha Democrats ambaye pia ni Makamu wa…

Read More

CAMFED TANZANIA YASAIDIA WASICHANA 500,900 ELIMU SEKONDARI

SHIRIKA lisilo la kiserikali la ufadhili wa masomo kwa watoto wa kike wanaoishi katika mazingira magumu (CAMFED Tanzania) limesema kuwa hadi sasa limeshawasaidia wasichana 500,900 kupata Elimu ya Sekondari. Hayo yamesemwa leo Novemba 11, 2024 jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa Miradi na Ushirikiano kutoka Camfed Tanzania, Anna Sawaki katika mkutano Mkuu wa nne…

Read More