Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: November 13, 2024

  • Home
  • 2024
  • November
  • 13
Habari

Maswali kibao tukio la ‘utekaji’ wa Tarimo

November 13, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakati Jeshi la Polisi likiendelea na uchunguzi wa tukio la kutaka ‘kutekwa’ kwa mfanyabiashara, Deogratius Tarimo, mijadala imeibuka juu ya hali ilivyokuwa

Read More
Habari

Dk Mpango: Utashi kisiasa muhimu kuondoa nishati chafu

November 13, 2024 Admin

Dar es Salaam. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amesema dhamira imara ya kisiasa katika ngazi zote za kitaifa na kikanda ni muhimu katika kuondoa

Read More
Kimataifa

Mkurugenzi wa Nishati Endelevu wa UNDP Atoa Wito Kwa Suluhu Bunifu za Kifedha kwa Marekebisho, Kupunguza — Masuala ya Ulimwenguni

November 13, 2024 Admin

Suluhu za kifedha kwa Kusini mwa ulimwengu ziko chini ya uangalizi wakati wa COP29. Credit: UN Climate Change/ Habib Samadov na Umar Manzoor Shah (baku)

Read More
Habari

Tamko la Mchengerwa lawaibua wadau

November 13, 2024 Admin

Dar es Salaam. Hatua ya Tamisemi kuongeza simu mbili kusikiliza rufaa za walioenguliwa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa imewaibua wadau wa uchaguzi huo wakitaka

Read More
Habari

Wakulimwa wa tumbaku Tabora walipwa fidia ya Sh1.117 bilioni

November 13, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakulima wa Tumbaku 2,226 kutoka Vyama vya Msingi 22 (AMCOS) mkoani Tabora waliokuwa na mikopo ya Benki ya NMB wamelipwa fidia zao

Read More
Habari

WANAHARAKATI WALIA NA UKANDAMIZAJI WA HAKI YA MWANAMKE KWENYE SEKTA YA AFYA, UCHUMI NA UONGOZI

November 13, 2024 Admin

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV WANAHARAKATI wa Jinsia na Maendeleo wameiomba Serikali kuingilia kati na kutatua changamoto zinazowakabili wanawake katika sekta ya afya, uchumi, na

Read More
Habari

Tanzania yawahakikishia mabalozi uthabiti kisiasa

November 13, 2024 Admin

Dar es Salaam. Tanzania imewahakikishia mabalozi wa mataifa ya kigeni nchini kuhusu uthabiti wa hali ya kisiasa, ufanisi wa mfumo wake wa kodi na uwekezaji,

Read More
Michezo

Simba Queens yaendeleza ubabe WPL, ikiitandika Yanga Princess

November 13, 2024 Admin

SIMBA Queens leo imetoa kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Yanga Princess na kujikita kileleni mwa msimamo wa Ligi ya Wanawake ikiwa na pointi 12.

Read More
Habari

Wagombea 13 akiwamo mwanahabari wajitosa nafasi ya ukatibu Tucta

November 13, 2024 Admin

Dar es Salaam. Jumla ya wagombea 13 akiwamo mwanahabari, Ebeneza Mende wamejitosa katika kinyang’anyiro cha uchaguzi wa naibu katibu mkuu wa Shirikisho la Vyama vya

Read More
Habari

MANDONGA KUJA NA NGUMI YA SGR PAMBANO LA NGUMI YA TANGA

November 13, 2024 Admin

Na Oscar Assenga, TANGA. BONDIA wa Ngumi nchini Karim Mandonga ametamba kuonyesha Ngumi ya SGR katika Pambano la Ngumi ya Tanga litakalofanyika Novemba 16 likiwa

Read More

Posts pagination

1 2 … 11 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.