Maswali kibao tukio la ‘utekaji’ wa Tarimo

Dar es Salaam. Wakati Jeshi la Polisi likiendelea na uchunguzi wa tukio la kutaka ‘kutekwa’ kwa mfanyabiashara, Deogratius Tarimo, mijadala imeibuka juu ya hali ilivyokuwa na kuibua maswali kibao. Tukio hilo lililotokea Jumatatu ya Novemba 11, 2024 eneo la Kiluvya jijini Dar es Salaam, limetonesha matukio ya aina hiyo ya watu ‘kutekwa’ ama kupotea katika…

Read More

Dk Mpango: Utashi kisiasa muhimu kuondoa nishati chafu

Dar es Salaam. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amesema dhamira imara ya kisiasa katika ngazi zote za kitaifa na kikanda ni muhimu katika kuondoa matumizi ya nishati chafu ya kupikia. Kufanya hivyo, amesema kutaendeleza sera, mikakati, mipango na malengo ya kufikia matumizi ya nishati safi ya kupikia. Taarifa iliyotolewa Novemba 13, 2024 na Ofisi…

Read More

Mkurugenzi wa Nishati Endelevu wa UNDP Atoa Wito Kwa Suluhu Bunifu za Kifedha kwa Marekebisho, Kupunguza — Masuala ya Ulimwenguni

Suluhu za kifedha kwa Kusini mwa ulimwengu ziko chini ya uangalizi wakati wa COP29. Credit: UN Climate Change/ Habib Samadov na Umar Manzoor Shah (baku) Jumatano, Novemba 13, 2024 Inter Press Service BAKU, Nov 13 (IPS) – Riad Meddeb, Mkurugenzi wa Kituo cha Nishati Endelevu katika Mpango wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDP), alisisitiza…

Read More

Tamko la Mchengerwa lawaibua wadau

Dar es Salaam. Hatua ya Tamisemi kuongeza simu mbili kusikiliza rufaa za walioenguliwa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa imewaibua wadau wa uchaguzi huo wakitaka waliokatwa warejeshwe wote pasipo masharti. Miongoni mwa wadau hao ni vyama vya siasa, ambavyo vimeitaka Serikali iwawajibishe wasimamizi wa uchaguzi na wasaidizi wao waliowaengua maelfu ya wagombea bila kufuata sheria…

Read More

WANAHARAKATI WALIA NA UKANDAMIZAJI WA HAKI YA MWANAMKE KWENYE SEKTA YA AFYA, UCHUMI NA UONGOZI

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV WANAHARAKATI wa Jinsia na Maendeleo wameiomba Serikali kuingilia kati na kutatua changamoto zinazowakabili wanawake katika sekta ya afya, uchumi, na uongozi ikiwemo ukandamizaji wa haki kwa mwanamke. Akizungumza leo,Novemba 13,2024 katika ofisi za Mtandao wa jinsia TGNP Mabibo-Jijini Dar es Salaam, Mwanaharakati wa jinsia na Maendeleo, Sharifa Hassan ameiomba serikali…

Read More

Tanzania yawahakikishia mabalozi uthabiti kisiasa

Dar es Salaam. Tanzania imewahakikishia mabalozi wa mataifa ya kigeni nchini kuhusu uthabiti wa hali ya kisiasa, ufanisi wa mfumo wake wa kodi na uwekezaji, ikisema Serikali inafanya juhudi kubwa kuboresha hali hiyo. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo, amesema hayo leo Novemba 13, 2024 katika kipindi ambacho…

Read More

Wagombea 13 akiwamo mwanahabari wajitosa nafasi ya ukatibu Tucta

Dar es Salaam. Jumla ya wagombea 13 akiwamo mwanahabari, Ebeneza Mende wamejitosa katika kinyang’anyiro cha uchaguzi wa naibu katibu mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (Tucta), unaotarajiwa kufanyika kesho Alhamisi, Novemba 14, 2024. Mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi huo, Willy Kibona amesema wagombea hao 13 waliojitokeza kugombea nafasi hiyo wanatoka vyama vya wafanyakazi…

Read More

MANDONGA KUJA NA NGUMI YA SGR PAMBANO LA NGUMI YA TANGA

Na Oscar Assenga, TANGA. BONDIA wa Ngumi nchini Karim Mandonga ametamba kuonyesha Ngumi ya SGR katika Pambano la Ngumi ya Tanga litakalofanyika Novemba 16 likiwa ni kuhamasisha wananchi kushiriki kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27 mwaka huu. Mandonga aliyoa tambo hizo wakati wa mkutano na waandishi wa Habari kuelekea pambano hilo ambalo…

Read More