Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: November 14, 2024

  • Home
  • 2024
  • November
  • 14
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo November 15, 2024

November 14, 2024 Admin

Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam November 15, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti

Read More
Habari

Wachungaji, wahubiri wapimwe afya ya akili kabla ya kutoa neno

November 14, 2024 Admin

Mwanza. Baadhi ya wasomi wa Biblia na viongozi wa dini wameshauri kitengenezwe chombo kitakachofuatilia mienendo ya wahubiri na wachungaji pamoja na kuwapima afya ya akili

Read More
Habari

Ongezeko ajali za barabarani laizindua Zanzibar

November 14, 2024 Admin

Unguja. Katika kupambana na janga la ogezeko la ajali za barabarani, Zanzibar imeendelea kubuni mikakati, safari hii kwa mara ya kwanza itaanza kuadhimisha wiki ya

Read More
Habari

SMZ yaondoa zuio uchimbaji mawe Pemba

November 14, 2024 Admin

Pemba. Kutokana na kilio cha wananchi kisiwani Pemba cha kuzuiwa kuchimba mawe, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imeondoa zuio hilo lakini ikiwataka kuzingatia utaratibu

Read More
Habari

Chadema yajibu kauli za Lissu, Dk Slaa

November 14, 2024 Admin

Dar es Salaam. Ni kawaida kwa viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kujitokeza hadharani kukanusha hoja zinazoibuliwa na makada wake. Safari hii chama

Read More
Kimataifa

Maendeleo kama Maandishi ya Rasimu ya Uamuzi wa Kipaumbele kikuu cha Urais wa COP29 Yatolewa – Masuala ya Ulimwenguni

November 14, 2024 Admin

Wenyeviti-wenza wa Lengo Jipya la Pamoja la Kukaguliwa (NCQG) wamefika katika misingi inayoweza kutekelezeka kwa ajili ya majadiliano juu ya lengo kuu la fedha la

Read More
Habari

Asilimia 67 ya Watanzania wanaamini uchumi utaimarika

November 14, 2024 Admin

Dar es Salaam. Karibu asilimia 67 ya Watanzania wanaamini kuwa nchi inaelekea kwenye mwelekeo sahihi na idadi kubwa inatarajia uchumi kuimarika katika miezi 12 ijayo,

Read More
Habari

CCT yabainisha kasoro tano uchaguzi Serikali mitaa

November 14, 2024 Admin

Dar es Salaam. Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), imeainisha kasoro tano ilizozibaini katika mchakato wa uchaguzi wa Serikali za mitaa, vijiji na vitongoji kuanzia uandikishaji

Read More
Habari

Lema awaomba radhi aliowakosea, waliofanya ‘vurugu’ kikaangoni

November 14, 2024 Admin

Arusha. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amewaomba radhi watu wote ambao amegombana nao katika kipindi cha uchaguzi

Read More
Habari

Pumu ya ngozi mwiba wakazi Kanda ya Ziwa

November 14, 2024 Admin

Mwanza. Ugonjwa wa pumu ya ngozi unatajwa kuwa kinara wa magonjwa ya ngozi yanayowatesa wakazi wa mikoa ya Kanda ya Ziwa. Takwimu zinaonyesha wastani wa

Read More

Posts pagination

1 2 … 11 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.