
PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO NOVEMBA 18,2024
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO NOVEMBA 18,2024 About the author
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO NOVEMBA 18,2024 About the author
Akiba Commercial Bank Plc imeendelea kujitoa si tu kuhudumia wateja wake bali pia kushiriki katika juhudi za kijamii wakati wa dharura na majanga, ikiwa ni sehemu ya dhamira yake ya kujenga jamii imara na yenye mshikamano. Ameyasema hayo leo Novemba 17 ,2024 Jijini Dar es salaam na Katibu Tawala wa Mkoa, Dkt. Tobha Nguvira, ambaye…
KIONGOZI wa Chama (KC) wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amewaonya wagombea wa chama hicho watakaochaguliwa kuwa viongozi wa vitongoji, vijiji na mitaa watakaochaguliwa wasiwadhulumu wananchi kwa kudai fedha. Anaripoti Salehe Mohamed, Dar es Salaam … (endelea). Zitto amesema chama chake hakitasita kuwafukuza viongozi watakaobainika kuwatoza fedha wananchi wanapokwenda kwenye ofisi zao kupata huduma…
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Benki ya Akiba (ACB) imewaomba wateja wake walioathirika na janga la kuporomoka gorofa Kariakoo kufika kwenye matawi kutoa taarifa za athari walizopata. Kauli hiyo imetolewa leo Novemba 17,2024 na Kaimu Ofisa Biashara Mkuu wa benki hiyo, Dk. Danford Muyango, wakati benki hiyo ilipofika katika eneo la Karikoo kutoa pole na…
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kuwa, Serikali itabeba gharama za matibabu kwa majeruhi wote walionusulika kwenye ajali ya kuporomoka kwa ghorofa K/koo jiijini Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu, Rio de Janeiro, Brazil … (endelea). Ghorofa hilo limeporomoka jana tarehe 16 Novemba 2024, majira ya Asubuhi, kwenye mtaa…
Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema hadi saa 4:00 asubuhi ya leo Jumapili, Novemba 17, 2024 watu 13 walikuwa wamepoteza maisha na majeruhi 84 kuokolewa katika ghorofa lililoporomoka, Kariakoo jijini Dar es Salaam. Pia, amemuagiza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuongoza timu ya wataalamu wa ujenzi kukagua majengo yote ya Kariakoo na kumpa taarifa,…
Jengo hilo lenye ghorofa nne lilianguka takriban saa 3:00 asubuhi (saa 12:00 GMT) Jumamosi katika soko lenye shughuli nyingi la Kariakoo katikati ya mji mkuu wa kibiashara, Dar es Salaam. Watu 13 wamethibitishwa kufariki kutokana na kuporomoka kwa janga hilo, kikosi cha zima moto kilisema. Watu wasiopungua 84 walikuwa wameokolewa wakiwa hai kutoka kwenye eneo la…
Baku, Azerbaijan. Watetezi wa mabadiliko ya tabianchi kutoka Afrika wamewasilisha ombi kwenye Mkutano wa 29 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (COP-29), kusisitiza hatua za haraka za mabadiliko hayo barani Afrika. Wamewasilisha ombi hilo kwenye mkutano unaofanyika mjini Baku nchini Azerbaijan huku likiwa na saini zaidi ya 10,000…
Njia hii ya maji, shahidi wa kimya wa machafuko ya manispaa ya Mapiripán, imeona yote – usafirishaji wa wanyamapori, mavuno ya koka ambayo yalichochea migogoro, miili ya watu iliyoachwa nyuma katikati ya mauaji mabaya na mmomonyoko wa misitu ya mvua ambayo hapo awali ililisha. . Sasa, Sandra anatumai itaondoa uchungu wa siku za nyuma na…
Dar es Salaam. Wachumi, wafanyabiashara na wamiliki wa malori nchini wameeleza mategemeo yao ya kuanza kwa usafirishaji wa mizigo kwa reli ya treni ya kisasa (SGR) mwakani, wakiamini utarahisisha biashara kufanyika haraka na kupunguza gharama za bidhaa. Kwa nyakati tofauti walisema usafiri wa reli ni wa uhakika katika usafirishaji wa mizigo. Faida nyingine ya usafirishaji…