AMVUNJA MBAVU MKE WAKE KWA WIVU WA MAPENZI

Jeshi la Polisi Mkoa wa Lindi linamsaka Hamidu Abdalah kwa kosa la kumjeruhi kwa kumpiga na chaga ya kitanda mke wake Amina Athuman Said 40, mkazi wa Likongowele wilaya ya Liwale na kisha kusababisha kuvunjika kwa mbavu mbili za upande wa kulia kisha kukimbilia sehemu kusikojulikana. Tukio hilo limehusishwa na masuala ya wivu wa kimapenzi…

Read More

TAASISI YA DORIS MOLLEL YAKABIDHI NYUMBA CHANIKA

Katika kuadhimisha Siku ya Watoto Njiti Duniani, Taasisi ya Doris Mollel (@dorismollelfoundation) ilimkabidhi nyumba ya makazi Mama aliyejitolea kukumbatia Watoto Njiti katika Hospitali ya Rufaa Mkoa Amana, Mariam Mwakabungu (26) yenye thamani ya Sh45 milioni iliyopo Chanika – Zavara jijini Dar es Salaam. Nyumba hiyo aliyozawadiwa na msamaria mwema (hajataka kutajwa jina) imejengwa na Taasisi…

Read More

Mulugo aeleza kiini mgogoro wake na Ma-DC Songwe

Songwe. Mbunge wa Songwe, Philipo Mulugo amesema vita yake na baadhi ya wakuu wa wilaya ni wao kuingilia masilahi ya wananchi. Mulugo alitoa kauli hiyo jana Novemba 17 wakati wa uzinduzi wa mtambo mpya na wa kisasa wa kuchakata na kuchenjua dhahabu (CIP) katika kampuni ya Green Pasific unaogharimu Sh10 bilioni ukiwezeshwa na benki ya…

Read More

Hatari iliyopo Kariakoo ubomoaji, ujenzi wa majengo

Dar es Salaam. Ubomoaji holela usiofuata sheria ni hatari nyingine ya kiusalama na kiafya inayowakabili wananchi wanaofanya shughuli zao au kwenda katika eneo la Kariakoo, Dar es Salaam. Uchunguzi wa Mwananchi umebaini. Katikati ya maandalizi ya habari hii ya uchunguzi wa takribani miezi mitatu ikiangazia ubomoaji wa majengo kwenye eneo hilo ambalo ni kitovu cha…

Read More

MAPITIO YA PROGRAMU YA KUENDELEZA KILIMO NA UVUVI (AFDP),YAWAKUTANISHA WATAALAMU PAMOJA NA UJUMBE KUTOKA- (IFAD) MJINI ZANZIBAR

Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Uratibu wa Shughuli za Serikali, kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Bw. Paul Sangawe ameongoza Kikao cha Ujumbe kutoka Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD), wakurugenzi wa sekta zinazotekeleza Programu ya Kuendeleza Kilimo na Uvuvi (AFDP) inayoratibiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge…

Read More