Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: November 18, 2024

  • Home
  • 2024
  • November
  • 18
Habari

AMVUNJA MBAVU MKE WAKE KWA WIVU WA MAPENZI

November 18, 2024 Admin

Jeshi la Polisi Mkoa wa Lindi linamsaka Hamidu Abdalah kwa kosa la kumjeruhi kwa kumpiga na chaga ya kitanda mke wake Amina Athuman Said 40,

Read More
Habari

NAIBU WAZIRI SAGINI AZINDUA TAASISI YA HAYATI SHEIKH KALUTA, AHIMIZA VIJANA KUJITUMA

November 18, 2024 Admin

TAASISI,Mashirika yanayojihusisha na Vijana watakiwa kuwatengenezea mifumo Vijana hao kuwa wenye tija na Msaada kwa Taifa katika umri huo mdogo ili kukuza chachu ya Maendeleo.

Read More
Kimataifa

'Jumuiya ya Kimataifa Lazima Iache Kufumbia Macho Mateso ya Wanawake wa Sudan' – Masuala ya Ulimwenguni

November 18, 2024 Admin

Sulaima Elkhalifa na CIVICUS Jumatatu, Novemba 18, 2024 Inter Press Service Nov 18 (IPS) – Onyo la maudhui: mahojiano haya yana maelezo ambayo baadhi ya

Read More
Habari

TAASISI YA DORIS MOLLEL YAKABIDHI NYUMBA CHANIKA

November 18, 2024 Admin

Katika kuadhimisha Siku ya Watoto Njiti Duniani, Taasisi ya Doris Mollel (@dorismollelfoundation) ilimkabidhi nyumba ya makazi Mama aliyejitolea kukumbatia Watoto Njiti katika Hospitali ya Rufaa

Read More
Habari

Mama na mwana, wanaodaiwa kumuua mwanafamilia, kusomewa maelezo Desemba

November 18, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imepanga Desemba 2, 2024 kuwasomea hoja za awali (PH) Sophia Mwenda (64) na mwanaye, Alphonce Magombola (36)

Read More
Habari

Mulugo aeleza kiini mgogoro wake na Ma-DC Songwe

November 18, 2024 Admin

Songwe. Mbunge wa Songwe, Philipo Mulugo amesema vita yake na baadhi ya wakuu wa wilaya ni wao kuingilia masilahi ya wananchi. Mulugo alitoa kauli hiyo

Read More
Habari

Hatari iliyopo Kariakoo ubomoaji, ujenzi wa majengo

November 18, 2024 Admin

Dar es Salaam. Ubomoaji holela usiofuata sheria ni hatari nyingine ya kiusalama na kiafya inayowakabili wananchi wanaofanya shughuli zao au kwenda katika eneo la Kariakoo,

Read More
Habari

Mama aliyezaa watoto 15 afariki dunia, watoto wajilea baba aomba msaada

November 18, 2024 Admin

Morogoro. Mama aliyezaa watoto 15, Neema Kenge (39) mkazi Mtaa wa Mgonahazeru Manispaa ya Morogoro, amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi. Baba wa

Read More
Habari

MAPITIO YA PROGRAMU YA KUENDELEZA KILIMO NA UVUVI (AFDP),YAWAKUTANISHA WATAALAMU PAMOJA NA UJUMBE KUTOKA- (IFAD) MJINI ZANZIBAR

November 18, 2024 Admin

Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Uratibu wa Shughuli za Serikali, kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Bw. Paul Sangawe ameongoza Kikao

Read More
Magazeti

PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO NOVEMBA 19,2024

November 18, 2024 Admin

Home ยป PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO NOVEMBA 19,2024 About the author

Read More

Posts pagination

1 2 … 10 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.