Mgambo watakiwa kutumika kutunza amani

Songwe. Mkuu wa Wilaya ya Ileje, mkoani Songwe, Farida Mgomi ametoa wito kwa wahitimu wa mafunzo ya Jeshi la Akiba kushiriki katika utunzaji wa amani hususan kipindi hiki cha uchaguzi wa serikali za mitaa. DC Farida ameyasema hayo Novemba 18, 2024 wakati wa kufunga mafunzo ya Jeshi la Akiba wilayani hapo. “Tunatarajia kuona mnayatumia vizuri…

Read More

Siri ya mafanikio ya tuzo za Pmaya yatajwa

Dar es Salaam. Imeelezwa kuwa uwekezaji bora umeiwezesha Kampuni ya Alaf Limited kushinda Tuzo za Rais kwa Wazalishaji Bora wa Mwaka (Pmaya) kwa miaka 18 mfululizo. Akizungumza jijini Dar es Salaam, Meneja Uhusiano na Mawasiliano, Hawa Bayumi amesema mwaka huu, kampuni hiyo imefanikiwa kupokea tuzo tatu kuu. Ametaja tuzo hizo kuwa ni muonyeshaji bora katika…

Read More

WATAALAM WA MANUNUZI NA UGAVI JIEPUSHENI NA VITENDO VYA RUSHWA

Vero Ignatus,Arusha  “Tumefanya ukaguzi hapa Mkoani Arusha na tumegundua changamoto kubwa ya baadhi ya wafanyakazi kwenye vitengo vya ununuzi hawajasajiliwa jambo ambaloni uvunjaji wa sheria kwa Makusudi kwani sheria inaeleza wazi kuwa ni marufuku kufanyakazi kama huhasajiliwa tunawaomba Sana changamoto hiyo iishe” Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya wataalamu wa ununuzi na ugavi nchini(PSPTB)Godfred Mbanyi ametoa…

Read More

BILION 53 ZA HATIFUNGANI KUBORESHA HUDUMA ZA MAJI TANGA

Waziri wa Maji Mhe.Jumaa Hamidu Aweso(MB) ameipongeza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Tanga (TANGA UWASA) kwa ubunifu uliofanyika wa uwekezaji wa Hatifungani ya Kijani (Tanga Water Green Bond) itakayofanikisha utekelezaji wa miradi ya maji katika maeneo ya Jiji la Tanga pamoja na Miji ya Muheza na Mkinga. Akizungumza wakati akikagua utekelezaji wa Miradi…

Read More

Qatar Imejitolea Kufikia Michango Iliyoamuliwa Kitaifa ifikapo 2030 – Masuala ya Ulimwenguni

Saad Abdulla Al-Hitmi, Mkurugenzi wa Idara ya Mabadiliko ya Tabianchi katika Serikali ya Qatar. Credit: Umar Manzoor Shah/IPS na Umar Manzoor Shah (baku) Jumanne, Novemba 19, 2024 Inter Press Service Wakati viongozi wa kimataifa wakikusanyika katika COP29 kushughulikia changamoto za dharura zinazoletwa na mabadiliko ya tabianchi, Saad Abdulla Al-Hitmi, Mkurugenzi wa Idara ya Mabadiliko ya…

Read More

Uongezaji thamani madini kuibeba Tanzania kiuchumi

Dar es Salaam. Serikali imesema uongezaji thamani madini nje ya nchi unalikosesha manufaa Taifa, yakiwamo mapato na ajira katika mnyororo mzima wa thamani wa sekta ya madini. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema hayo leo Novemba 19, 2024 alipomwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa Sita wa Kimataifa wa Madini na Uwekezaji uliowakutanisha washiriki zaidi…

Read More