DC LINDI AWAPA MAUA YAO LINDI MWAMBAO

MKUU wa Wilaya ya Lindi, Victoria Mwanziva amekimwagia sifa Chama Kikuu cha Ushirika cha Lindi Mwambao kwa kuguswa na mambo ya kijamii,huku akiwaomba kuzidi kuwa walezi wazuri kwa vyama vya msingi viweze kufikia malengo jadidi ya kuwahudumia wakulima. Katika kutekeleza msingi wa saba wa ushirika wa kuisaidia jamii, Lindi Mwambao kimemkabidhi Mkuu wa Wilaya hiyo,…

Read More

Besigye ashtakiwa mahakama ya kijeshi kwa njama za kulipua kambi

Kampala. Mwanasiasa mkongwe wa upinzani wa Uganda, Dk Kizza Besigye aliyetoweka Nairobi nchini Kenya Jumamosi na baadaye kudaiwa kutekwa, ameibukia kizimbani kwenye mahakama ya kijeshi nchini Uganda. Besigye amefikishwa mahakamani jijini Kampala leo Jumatano, Novemba 20, 2024, na kusomewa mashtaka kadhaa, likiwemo kosa la kumiliki bunduki kinyume cha sheria. Pia, anakabiliwa na tuhuma za kufanya…

Read More

DKT. BITEKO AINADI CCM MARA

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa ambaye pia ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka wananchi wa Nyamongo na Mkoa wa Mara kwa ujumla kufanya kampeni za kistaarabu na kuwapigia kura viongozi wa CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaofanyika Novemba…

Read More

Wahitimu 417 kutunikiwa vyetu ITA

  CHUO cha Kodi (ITA), kinatarajia kuwatunuku vyeti wahitimu 417, wa kozi mbalimbali kwa mwaka wa masomo 2023/2024. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Amesema wanatarajia kutunuku vyeti kwa wahitimu 417 wa kozi mbalimbali kwa mwaka wa masomo 2023/2024. Hayo yamesema leo tarehe 20 Novemba 2024 na Mkuu wa Chuo hich,o Profesa Isaya…

Read More

Rais Samia: Hatutasita kubomoa Kariakoo yote

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali haitasita kubomoa majengo yote ya Kariakoo iwapo tume iliyoundwa kuchunguza usalama wake, itashauri ifanyike hivyo. Sambamba na hilo, mkuu huyo wa nchi amewasihi watendaji wa Serikali kuwajibika kwa nafasi zao, hasa katika mchakato wa utoaji vibali vya ujenzi akitaka visimamiwe. Rais Samia ameyasema hayo siku nne…

Read More