Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: November 20, 2024

  • Home
  • 2024
  • November
  • 20
Habari

Vodacom yazindua Vodashop katika stesheni ya SGR Dodoma kuwasogezea huduma wateja

November 20, 2024 Admin

Vodacom Tanzania Plc imezindua duka lake jipya (Vodashop) katika stesheni ya SGR iliyopo mkoani Dodoma huku ikiwa na mpango wa kufungua duka lingine mkoani Morogoro.

Read More
Habari

EWURA YAWAKUTANISHA WADAU MOROGORO KUTOA MAONI NA MALALAMIKO YAO

November 20, 2024 Admin

Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro, Dkt. Mussa Ali Mussa, akitoa hotuba ya ufunguzi wakati wa Mkutano huo. …….. Wadau mbalimbali wa mkoa wa Morogoro

Read More
Habari

CPA MAKALA: MBOWE ANASEMA CHAMA CHAMA CHAO HAKINA ILANI, WAGOMBEA WATABUNI BUNI

November 20, 2024 Admin

KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC ) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Itikadi, Uenezi,Siasa na Mafunzo CPA Amos Makala amesema amemsikia Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe

Read More
Habari

DC LINDI AWAPA MAUA YAO LINDI MWAMBAO

November 20, 2024 Admin

MKUU wa Wilaya ya Lindi, Victoria Mwanziva amekimwagia sifa Chama Kikuu cha Ushirika cha Lindi Mwambao kwa kuguswa na mambo ya kijamii,huku akiwaomba kuzidi kuwa

Read More
Kimataifa

Mustakabali wa Watoto katika 2050 Utaundwa Kupitia Mitindo ya Ulimwenguni – Masuala ya Ulimwenguni

November 20, 2024 Admin

Katika siku ya mvua katika Ukanda wa Gaza, Salem, mwenye umri wa miaka 12, anatazama upinde wa mvua wakati wa machweo katika mji wa Rafah.

Read More
Habari

GAVU AWAOMBA WANANCHI KUCHAGUA WAGOMBEA WA CCM UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA

November 20, 2024 Admin

KATIBU wa Halmashauri Kuu( NEC) Oganaizesheni na Mjumbe wa Kamati Kuu Issa Gavu amewataka wananchi wa Mkoa wa Geita kuwachagua wagombea wa Chama Cha Mapinduzi

Read More
Habari

Besigye ashtakiwa mahakama ya kijeshi kwa njama za kulipua kambi

November 20, 2024 Admin

Kampala. Mwanasiasa mkongwe wa upinzani wa Uganda, Dk Kizza Besigye aliyetoweka Nairobi nchini Kenya Jumamosi na baadaye kudaiwa kutekwa, ameibukia kizimbani kwenye mahakama ya kijeshi

Read More
Habari

DKT. BITEKO AINADI CCM MARA

November 20, 2024 Admin

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa ambaye pia ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt.

Read More
Habari

Wahitimu 417 kutunikiwa vyetu ITA

November 20, 2024 Admin

  CHUO cha Kodi (ITA), kinatarajia kuwatunuku vyeti wahitimu 417, wa kozi mbalimbali kwa mwaka wa masomo 2023/2024. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …

Read More
Habari

Rais Samia: Hatutasita kubomoa Kariakoo yote

November 20, 2024 Admin

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali haitasita kubomoa majengo yote ya Kariakoo iwapo tume iliyoundwa kuchunguza usalama wake, itashauri ifanyike hivyo. Sambamba

Read More

Posts pagination

1 2 … 12 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.