Makamba ataja mambo manne kuamua uchaguzi serikali za mitaa

Bumbuli. Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (MNEC), January Makamba ameyataja mambo yatakayokibeba Chama Cha Mapinduzi kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024. Makamba amesema namna chama hicho kinavyoshughulikia na kuzipatia ufumbuzi kero zinazowakabili wananchi katika maeneo mengi nchini yanaipa CCM nafasi ya kufanya vizuri katika uchaguzi wa serikali za mitaa….

Read More

Shughuli za kibiashara zarejea Kariakoo

Dar es Salaam. Shughuli za kibiashara katika maeneo yanayozunguka jengo la ghorofa nne lililoporomoka Kariakoo na kusababisha vifo, majeruhi na uharibifu wa mali za mamilioni zimeanza kurejea. Jengo hilo liliporomoka asubuhi ya Jumamosi Novemba 16, 2024 na mpaka jana Jumatano, vifo vilikuwa vimefikia 20 na majeruhi zaidi ya 86. Tangu siku hiyo, shughuli mbalimbali zilisimama…

Read More

Zanzibar yazidi kufunguka kwa uwekezaji

Unguja. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji, Shariff Ali Shariff amesema Zanzibar inazidi kufunguka na uwekezaji kuongezeka mwaka hadi mwaka. Amesema kwa kipindi cha miaka minne kuna miradi zaidi ya 390 ya uwekezaji ambayo imesajiliwa Zanzibar sawa na ongezeko la asilimia 200 ikilinganishwa na kipindi cha nyuma ambacho ilikuwa ikisajili miradi…

Read More

Mchuano wa sera vyama vikitafuta kura za viongozi

Dar/mikoani.  Wakati kampeni za uchaguzi wa Serikali za mitaa, vijiji na vitongoji zikiwa zimeanza, vyama vimeendelea kunadi sera zake ili kuwashawishi Watanzania  kuwapigia kura wagombea katika uchaguzi utakaofanyika Jumatano ya Novemba 27, 2024. Vyama hivyo vimewasisitiza Watanzania kuchambua sera na vipaumbele vya wagombea  ili kufanya uamuzi wa kuchagua viongozi sahihi watakaowahudumia katika kipindi cha miaka…

Read More

STELLA IKUPA AFANYA ZIARA VITUO VYA WASAFIRISHAJI BAJAJI ZA WATU WENYE ULEMAVU MKOA WA DAR ES SALAAM

MBUNGE wa Viti Maalum, anayewakilisha watu wenye ulemavu Tanzania, Mh.Stella Ikupa, amefanya ziara katika vituo vya watu wenye ulemavu, wasafirishaji abiria kupitia bajaji ndogo na kubwa, katika Jiji la Dar es Salaam. Vituo alivyotembelea Mbunge Mh. Stella ni Nyahaja Uhasibu Group kilichopo pembezoni mwa Chuo Cha Uhasibu (TIA), Temeke, Kituo cha Ocean Road cha bajaji…

Read More