
Serikali yaipa ITA jukumu la utafiti wa mapato
SERIKALI imekipa Chuo cha Kodi (ITA), jukumu la kufanya utafiti wa namna ya kuongeza idadi ya walipa kodi, kubaini vyanzo vipya pamoja na ukusanyaji wa kodi katika biashara za mitandaoni na zile za kimaifa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Hayo yamesemwa leo katika mahafali ya 17 ya chuo hicho yaliyofanyika leo…