
CCM hatucheki na mtu katika kushika dola, Tumejipanga- CPA MAKALLA.
Na Mwandishi Wetui KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Itikadi, Uenezi, Siasa na Mafunzo CPA Amoss Makalla amesema Chama hicho hakicheki na mtu katika kushika dola na katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu na wamejipanga kuhakikisha wanashinda kwa kishindo. CPA Makalla ameyasema hayo leo Movemba 23,2024 alipokuwa akizungumza na…