MAMA SALMA KIKWETE ASHIRIKI ZOEZI LA KUPIGA KURA

  Mbunge wa Jimbo la Mchinga Mkoani Lindi Mama Salma Rashid kikwete amewaongoza wananchi wa Jimbo hilo kushiriki zoezi la upigaji wa Kura kuchagua viongozi wa Serikali za mitaa, vijiji na vitongoji  Mama Salma ameshiriki zoezi hilo Katika kituo cha kupiga Kura cha  Makasini kijiji cha Ruvu Kata ya Mchinga huko manispaa ya Lindi  Akizungumza…

Read More

Kamwe Usidharau Choo – Masuala ya Ulimwenguni

Picha kwa hisani: Shelter Associates na Baher Kamal (madrid) Jumanne, Novemba 26, 2024 Inter Press Service MADRID, Nov 26 (IPS) – Katika nchi nyingi za Ulaya Magharibi unaweza kununua -au kukodisha- gorofa ya mita za mraba 60 ambayo ina vyoo viwili, kimoja chake na kimoja chake. Vyumba vikubwa zaidi vinaweza kuwa na zaidi. Kwa wale…

Read More

Mawakala CCM, Chadema wakimbia na maboksi ya kura Nzega

Tabora. Mawakala wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jimbo la Bukene na Wakala wa Chama Cha mapinduzi (CCM) Jimbo la Nzega vijijini, wamekimbia na maboksi ya kupigia kura baada ya wagombea wao kuzidiwa kura kwenye uchaguzi waliokuwa wanausimamia. Akizungumza na Mwananchi leo Jumatano Novemba 27, 2024 msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Nzega na…

Read More

Mchengerwa: Uchaguzi umekwenda vizuri, matokeo ya jumla kesho

Dar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa amesema maeneo ya changamoto yaliyobainika yameongezewa muda wa saa mbili kutoka saa 10 hadi saa 12 jioni ndio walimaliza kupiga kura. Kuhusu changamoto zilizojitokeza, Waziri Mchengerwa amesema,”yako maeneo changamoto zimejitokeza, lakini asilimia 98 hali imekwenda vizuri,…

Read More

Polisi washikilia wanne vurugu za uchaguzi Tanga

Tanga. Watu wanne wamekamatwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa wakidaiwa kufanya vurugu kwenye vituo vya kupigia kura kwenye Wilaya za Pangani na Tanga mjini, wakati upigaji kura ukiendelea. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake leo Novemba 27, 2024 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, ACP Almachius Mchunguzi amesema wananchi hao wamekamatwa kwa kosa…

Read More