HabariRais Dkt. Samia apiga kura katika Kituo cha kupiga kura kitongoji cha Sokoine, Chamwino Mkoani Dodoma Admin1 year ago01 mins 41 RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipiga kura kwa ajili ya kuchagua viongozi kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mtaa katika kitongoji cha Sokoine, Chamwino mkoani Dodoma tarehe 27 Novemba, 2024. Post navigation Previous: Simba yaichapa Bravos Kwa MkapaNext: Makada wa Chadema mbaroni madai kukimbia na boksi la kura, wakana
MEYA KIBAHA KUTOA ZAIDI YA MILION 18 KUCHIMBA VISIMA VINNE KUPUNGUZA KERO YA MAJI PANGANI Admin3 hours ago 0