HabariRais Dkt. Samia apiga kura katika Kituo cha kupiga kura kitongoji cha Sokoine, Chamwino Mkoani Dodoma Admin1 year ago01 mins 51 RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipiga kura kwa ajili ya kuchagua viongozi kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mtaa katika kitongoji cha Sokoine, Chamwino mkoani Dodoma tarehe 27 Novemba, 2024. Post navigation Previous: Simba yaichapa Bravos Kwa MkapaNext: Makada wa Chadema mbaroni madai kukimbia na boksi la kura, wakana
Waziri Mkuu aagiza watumishi waliosababisha mifuko alfu moja kuganda, wachukuliwe hatua Admin8 hours ago 0
Mchengerwa afungua kikao cha Mawaziri wa Afrika wa Afya kuhusu kampeni ya kupunguza vifo vya mama na mtoto (CARMMA) kwa niaba ya Rais Samia9 Admin8 hours ago 0