Dkt. Mpango aipongeza Benki ya CRDB kuzindua Hatifungani ya ‘Samia Infrastructure Bond’ kusaidia miradi ya barabara nchini

Dar es Salaam. Tarehe 29 Novemba 2024: Akimwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Philip Isdory Mpango ameipongeza Benki ya CRDB kwa kuzindua Hatifungani ya Samia Infrastructure Bond inayolenga kukusanya Shilingi bilioni 150 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya barabara za vijijini na mijini zilizochini…

Read More

WAFUNGWA NA MAHABUSU KUANDALIWA UTARATIBU WA KUJIANDIKISHA KUPIGA KURA NA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

Na Linda Akyoo Tume huru ya Taifa ya uchaguzi imeandaa utaratibu wa kuandikisha watanzania waliopo magereza wanaotumikia adhabu zisizozidi kifungo cha miezi 6 pamoja na Mahabusu kwenye daftari la kudumu la wapiga kura. Utaratibu huo ambao ni wa kwanza kutumika hapa nchini utawapa haki wafungwa hao na mahabusu kushiriki zoezi la upigaji kura katika uchaguzi…

Read More

KITUO CHA MAFUTA KUAMBIA CHAZINDULIWA

Na. Damian Kunambi, Njombe Zaidi ya Lita 200 za mafuta ya petrol na diesel yametolewa bure kwa magari mbalimbali na madereva bodaboda baada ya mkuu wa Wilaya ya Ludewa Olivanus Thomas kuzindulia kituo kipya cha mafuta Wilayani Ludewa Mkoani Njombe kinachomilikiwa na Imani Haule ambaye ndiye mmiliki wa Kampuni ya Kuambiana Investment. Hatua hiyo imefikiwa…

Read More

Hatifungani za  miundombinu kuleta manufaa haya

Dar es Salaam. Ili kupunguza changamoto ya kuchelewa na upatikanaji wa mikopo na mitaji  kwa makandarasi wazawa wanaotekeleza miradi ya ujenzi wa barabara nchini, Benki ya CRDB imeanzisha hatifungani ya miundombinu ikienga kukusanya Sh150 bilioni. Mbali na faida za kimundombinu, hatifungani hiyo inayoanza kuuzwa leo hadi Januari 17,2024, inatoa fursa kwa kila Mtanzania zikiwamo taasisi…

Read More

TMA yatabiri mvua kubwa mikoa 11 kuanzia kesho

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imetabiri mvua kubwa kwa siku mbili kuanzia kesho Novemba 30 na Desemba mosi, mikoa 11 kwenye kanda tatu tofauti. Utabiri huo, mbali na mikoa ya Nyanda za Juu Kusini (Mbeta, Songwe, Iringa, Njombe na Rukwa), umegusa ukanda wa Pwani ya Kusini mwa Bahari ya Hindi…

Read More