Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: November 30, 2024

  • Home
  • 2024
  • November
  • 30
Habari

Serikali ya Zanzibar kuendelea kuunga mkono kazi za Mradi wa USAID Kizazi Hodari Kanda ya Kusini

November 30, 2024 Admin

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar leo imeahidi kuendelea kuunga mkono Mradi wa USAID Kizazi Hodari unaolenga kusaidia katika kuboresha afya, ustawi na usalama wa watoto

Read More
Habari

Marais wataka tafakuri fursa za miaka 25 ya EAC

November 30, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakati Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ikitimiza miaka 25 tangu iliporejeshwa mwaka 1999, baadhi ya wakuu wa nchi wanachama wamependekeza tafakari pana

Read More
Habari

WATENDAJI WA UCHAGUZI MIKOA YA ARUSHA, KILIMANJARO NA DODOMA WAPATIWA MAFUNZO YA UBORESHAJI

November 30, 2024 Admin

Makamu Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa (Mstaafu) Mbarouk Salim Mbarouk wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa Waratibu wa

Read More
Habari

Mwenyekiti wa Mtaa wa Chaumma apongezwa kwa ‘ubwabwa’

November 30, 2024 Admin

Mbeya. Shughuli katika Soko la Mwanjelwa jijini Mbeya zimesimama kwa muda kupisha sherehe ya Mwenyekiti wa Mtaa wa Soko, Brayani Mwakalukwa, aliyeshinda katika uchaguzi wa

Read More
Habari

KUMBUKIZI YA KUWAOMBEA MAREHEMU WALIO TANGULIO YAFANYIKA HII LEO

November 30, 2024 Admin

 Naibu Waziri wa nchi ofisi ya Rais mipango na uwekezaji Stanislaus Nyongo ameongoza hafula ya kumbukizi ya kuwaombea Ndugu na jamaa mbalimbali waliotangulia mbele ya

Read More
Habari

Machumu awafunda wahitimu wa uandishi wa habari

November 30, 2024 Admin

Morogoro. Mkurugenzi Mtendaji na mwanzilishi wa BSM Washauri Tanzania Limited, Bakari Machumu amewapa mbinu tano wahitimu wa kozi ya uandishi wa habari zitakazowasaidia kupata mafanikio

Read More
Habari

WAZIRI BASHUNGWA AKABIDHI KAZI YA UJENZI WA MADARAJA USHETU

November 30, 2024 Admin

Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa akizungumza wakati wa ziara ya kukagua hatua maendeleo ujenzi wa Madaraja Halmashauri ya Ushetu Mkoa wa Shinyanga. Na Mwandishi wetu

Read More
Habari

Wananchi Mkata, Manga kula sikukuu wakiwa na majisafi, RC atoa angalizo

November 30, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa) imesema wananchi wa vijiji vya Manga hadi Mkata katika Wilaya ya

Read More
Habari

TCAA YANYAKUA TUZO 3 KATIKA TUZO ZA MWAJIRI BORA 2024

November 30, 2024 Admin

Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA), imenyakua tuzo tatu katika usiku wa utoaji wa tuzo za Mwajiri Bora zilizofanyika jijini Dar es Salaam Novemba 29,

Read More
Habari

Kikwete aeleza ukaribu wake na familia ya Ndugulile

November 30, 2024 Admin

Dar es Salaam. Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO),

Read More

Posts pagination

1 2 … 7 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.