RAIS MAHMUD AWASILI NCHINI KUSHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI
Rais wa Somalia, Mhe. Hassan Sheikh Mahmud amewasili nchini leo tarehe 29 Novemba 2024 kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa 24 wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki unaofanyika jijini Arusha tarehe 29 na 30 Novemba 2024. Mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) Mhe. Rais Mahmud…