Rais wa Somalia, Mhe. Hassan Sheikh Mahmud amewasili nchini leo tarehe 29 Novemba 2024 kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa 24 wa Wakuu wa Nchi
Month: November 2024

MKUU wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha amesema amefurahishwa na kiwango kinachoonyeshwa na timu ya Tabora United kwenye Ligi kuu Bara ambapo imezifunga Yanga mabao 3-1

Bukoba. Mkazi wa Mtaa wa Bulibata uliopo katika Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera, Alkadi Bagani (74) amekuwa mwenyekiti wa mtaa huo kwa kipindi cha miaka

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Mjadala wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)

Mwanza. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linawashikilia watu watatu, akiwemo aliyekuwa mgombea wa nafasi ya uenyekiti kwa tiketi ya Chadema, Mtaa wa Buswelu A wilayani

Rais wa Jamhuri ya Kenya, Mhe. William Ruto amewasili nchini leo tarehe 29 Novemba 2024 kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa 24 wa Wakuu wa

Dar es Salaam. Mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi Mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Kanda ya Afrika, Dk Faustine Ndugulile umewasili

Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni, amewasili nchini leo tarehe 29 Novemba 2024 kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa 24 wa Wakuu

BAADA ya safu yake ya ulinzi na ushambuliaji kushindwa kuendana na kasi, kocha mkuu wa Tanzania Prisons, Mbwana Makata ameuomba uongozi kusajili maeneo hayo. Dirisha

Mbeya. Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya, leo Ijumaa Novemba 29, 2024 imeahirisha tena shauri la kada wa Chama cha Demokrasia na Mandeleo (Chadema), Mdude Nyagali