Upatikanaji fedha kikwazo utekelezaji mtalaa mpya

Unguja. Kukosekana fedha imeelezwa kuwa miongoni mwa changamoto ya utekelezaji kwa vitendo mtalaa mpya na uandaaji wa umahiri wa wanafunzi Zanzibar. Hali hiyo imesababisha vitabu kuchelewa kupatikana hivyo kusababisha kudorora kwa huduma za mafunzo. Hayo yameelezwa leo Novemba 29, 2024 na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali, Ali Abdugulam Hussein wakati wa mkutano…

Read More

WMA YASISITIZA MATUMIZI SAHIHI YA VIPIMO KWA WAUZAJI WA MVINYO

Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Dodoma imewahimiza wajasiriamali na wafanyabiashara wanaojihusisha na uuzaji wa mvinyo na usindikaji wa bidhaa zinazotokana na zao la zabibu kuzingatia matumizi sahihi ya vipimo katika biashara zao. Wito huo umetolewa na Meneja wa WMA Mkoa wa Dodoma Bw. Karim Zuberi alipowatembelea wauzaji wa mvinyo wanaoshiriki katika Tamasha la Dodoma…

Read More

Guinea,Sudan zipaisha Tanzania FIFA | Mwanaspoti

USHINDI wa mechi mbili dhidi ya Sudan na Guinea umeipaisha Tanzania kwenye viwango vya ubora vinavyotolewa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA). Stars ilikutana na Sudan katika michuano ya CHAN kutoka na sare ya matokeo ya jumla ya kufungana 1-1, kila taifa likishinda kwake nyumbani kwa bao 1-0 mechi ya mwisho ya marudiano ikipigwa…

Read More

BUWASA yakabidhi site kwa mkandarasi rasmi kuanza kazi

Mamlaka ya Majisafi na usafi wa mazingira Bukoba (BUWASA) imekabidhi site kwa mkandarasi ikiwa ni kiashiria cha kuanza rasmi kazi ya uboreshaji wa miundombinu ya maji katika manispaa ya Bukoba. Tukio hilo limefanyika katika ofisi za Buwasa likiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa mamlaka ya majisafi na usafi wa mazingira Bukoba Mhandisi John Sirati huku likishuhudiwa…

Read More

ACT Wazalendo yataka uchaguzi serikali za mitaa urudiwe

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo, kimesema uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji uliofanyika Jumatano Novemba 27,2024 haukuwa huru na haki na hivyo unapaswa kubatilishwa na kurudiwa upya. Mbali na hilo, chama hicho kimesema hakikubaliani na  matokeo yaliyotangazwa na Waziri wa Tamisemi, Mohamed Mchengerwa na kuwa mchakato huo ulivurugwa na kusababisha wananchi…

Read More

Huko Championship vita inaendelea | Mwanaspoti

KIVUMBI cha Ligi ya Championship kinaendelea kurindima ambapo baada ya leo kuchezwa michezo mitatu kesho mingine mitatu pia itapigwa katika viwanja mbalimbali, huku kila timu ikisaka pointi tatu ili kujiwekea mazingira mazuri huko mbeleni. Mchezo wa mapema saa 8:00 mchana utapigwa kwenye Uwanja wa Nyankumbu Geita ambapo wenyeji Geita Gold iliyoichapa mabao 2-1, Cosmopolitan mechi iliyopita…

Read More

Xmas Drop, zawadi kubwa zinazungumziwa!

Xmas Drop inaleta msisimko wa msimu wa sikukuu kwa wachezaji wote wa Meridianbet! Kwa jumla ya zawadi za TZS 16,000,000,000, promosheni hii inalenga kuleta furaha na ushindi wa kipekee. Masanduku ya siri 4,000 yanakusubiri, yakiwa na zawadi za pesa taslimu hadi €500. Shiriki kuanzia Novemba 29 hadi Desemba 29 kwa kuweka dau lolote linalokubalika kwenye…

Read More

CCM yataja sababu nne zilizowezesha ushindi serikali za mitaa

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Tamisemi kutangaza matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji yaliyoonyesha CCM kushinda kwa asilimia 95, chama hicho kimetaja sababu nne zkuwa ziliwezesha “ushindi huo wa kishindo.” Sababu hizo ni pamoja na uratibu mzuri wa kampeni, utekelezaji wa Ilani ya CCM ya mwaka 2020/25, maandalizi ya uchaguzi…

Read More