WATUMISHI TCAA WAASWA KUEPUKA TABIA ZINAZOATHIRI UTENDAJI KAZI WAO
Mkurugenzi wa Idara ya Huduma za Uongozaji Ndege katika Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Bi Flora Alphonce amefungua Mkutano wa mwaka wa Watumishi wa Idara ya Huduma za Uongozaji Ndege kwa kuwakumbusha wajumbe wa Mkutano huo kwamba kikao hicho licha kukumbashana majukumu yao ya kazi lakini pia ni kikao cha mafunzo zaidi. Kwenye…