Mahakama yamuachia huru aliyekuwa RC Simiyu

  Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza imemuachia huru aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dk. Yahya Nawanda katika kesi ya kulawiti iliyokuwa inamkabili. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mwanza … (endelea). Uamuzi wa kesi hiyo namba 1883/2024, umetolewa leo tarehe 29 Novemba 2024, mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo Erick Marley. Akisoma uamuzi huo, hakimu…

Read More

VIDEO: Alichokisema aliyekuwa RC Simiyu baada ya kuachiwa huru

Mwanza. Muda mfupi baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza kumuachia huru aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dk Yahya Nawanda, mwanasiasa huyo ametoa kauli yake kuhusiana na uamuzi huo. “Namshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema, naishukuru familia yangu, naishukuru mahakama imetenda haki, namshukuru kaka yangu Alex kwa kazi kubwa ambayo ameifanya, basi Mungu ni…

Read More

Picha: Makamu wa RAIS DKT.Philip Mpango alivyowasili kwenye Uzinduzi wa Samia Infrastructure DSM

Mgeni Rasmi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akishiriki kwa niaba ya Rais Samia alivyowasili kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani City ambako Uzinduzi wa SAMIA INFRASTRUCTURE BOND unafanyika. The post Picha: Makamu wa RAIS DKT.Philip Mpango alivyowasili kwenye Uzinduzi wa Samia Infrastructure DSM first appeared on Millard Ayo.

Read More

VIDEO: Alichokisema Dk Nawanda baada ya kuachiwa huru

Mwanza. Muda mfupi baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza kumuachia huru aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dk Yahya Nawanda, mwanasiasa huyo ametoa kauli yake kuhusiana na uamuzi huo. “Namshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema, naishukuru familia yangu, naishukuru mahakama imetenda haki, namshukuru kaka yangu Alex kwa kazi kubwa ambayo ameifanya, basi Mungu ni…

Read More

Alichokisema Dk Nawanda baada ya kuachiwa huru

Mwanza. Muda mfupi baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza kumuachia huru aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dk Yahya Nawanda, mwanasiasa huyo ametoa kauli yake kuhusiana na uamuzi huo. “Namshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema, naishukuru familia yangu, naishukuru mahakama imetenda haki, namshukuru kaka yangu Alex kwa kazi kubwa ambayo ameifanya, basi Mungu ni…

Read More

Maandamano yanaendelea baada ya uchaguzi nchini Msumbiji

Maandamano yanaendelea baada ya mazungumzo yaliyopangwa kumaliza machafuko nchini Msumbiji kutibuka. Msumbiji imekumbwa na maandamano mabaya ya wiki kadhaa kuhusu uchaguzi wa urais wa tarehe 9 Oktoba, ambao umefichua kutoridhika kwa umma na utawala wa nchi hiyo. Maandamano hayo yalianza tarehe 21 Oktoba baada ya Venancio Mondlane, mgombea anayeungwa mkono na chama cha upinzani cha…

Read More