Takriban watu 15 wakiwemo watoto 7 wafariki na wengine 113 hawajulikani walipo Uganda

Juhudi za uokoaji zinaendelea mashariki mwa Uganda kufuatia maporomoko ya ardhi yaliyozika nyumba katika zaidi ya vijiji 6 wakati nyumba 45 zimezikwa kabisa. Takriban watu 15 wakiwemo watoto 7 walifariki na wengine 113 hawajulikani walipo. “Serikali sasa inanunua ardhi nyingine lakini unaona nini kimetokea, kwa hiyo, iwe hivyo sijui nitumie neno gani, lakini watu waondolewe…

Read More

Aliyekuwa RC Simiyu aachiwa huru

Mwanza. Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza imemuachia huru aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dk Yahya Nawanda katika kesi ya kulawiti iliyokuwa ikimkabili. Katika uamuzi wake kwenye kesi hiyo ya jinai namba 1883/2024, yenye kosa la kulawiti, uliosomwa na Hakimu, Mkazi Mfawidhi wa mahakama hiyo Erick Marley. Katika uamuzi huo, Hakimu Marley amesema mahakama hiyo…

Read More

Shule za msingi 139 Mbinga kupewa kompyuta

Naibu Waziri wa Nishati ambaye pia ni Mbunge wa Vijana Mkoa wa Ruvuma (CCM), Mhe.Judith Kapinga ameahidi kutoa kompyuta 139 katika Shule za Msingi 139 zilizopo Halmashauri ya wilaya ya Mbinga Vijijini ili kuchochea kasi ya ukuaji wa Elimu katika wilaya hiyo. Mhe. Kapinga ametoa ahadi hiyo Novemba 28, 2024 wakati wa hafla ya uwekaji…

Read More

MADEREVA WAHIMIZWA KUZINGATIA TIJA KATIKA UTENDAJI KAZI

  Na Mwandishi wetu – Dar es salaam Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Zuhura Yunus, amewahimiza Madereva kuzingatia tija na ufanisi katika utendaji kazi  ili kuhakikisha jamii inafanya kazi  za kiuchumi kwa usalama, kukuza uchumi  wao na uchumi wa  Taifa kwa ujumla Ameyasema hayo leo Novemba…

Read More

Umeme wakatika bungeni bajeti ikisomwa

Harare. Kukatika umeme kumewaacha na mshangao wabunge wa Zimbabwe wakati Waziri wa Fedha, Mthuli Ncube, akihitimisha hotuba yake ya bajeti jana Alhamisi Novemba 28, 2024. Viongozi wakuu wa nchi wakiwemo Rais Emerson Mnangagwa na Makamu wa Rais, Constantino Chiwenga walijikuta wakiwa gizani baada ya umeme huo kukatika. Kukatika umeme nchini Zimbabwe, takribani saa 12 kila…

Read More

Wanawake wa Sudan na Watetezi wa Haki za Kibinadamu Watoa Wito wa Mshikamano Kukomesha Umwagaji Damu – Masuala ya Ulimwenguni

Madiha Abdalla Maoni na Madiha Abdalla (khartoum, sudan) Ijumaa, Novemba 29, 2024 Inter Press Service KHARTOUM, Sudan, Nov 29 (IPS) – Tarehe 15 Aprili 2023, kuzuka kwa vita kati ya jeshi la Sudan na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) kulibadilisha sana sura ya jamii ya Sudan. Mapigano hayo yalisababisha maelfu ya watu kuuawa, kujeruhiwa,…

Read More

AZAKI NA VIONGOZI WA DINI WAKUTANA KUJADILI NDOA ZA UTOTONI.

Na Lilian Ekonga………… Shirika la Msichana Initiative na shirika la Norwegian Church Aid wamekutana na viongozi wa dini mbalimbali kutoka mikoa zaidi ya 10 kwa lengo la kujadili na kujenga uelewa kuhusu mabadiliko ya umri wa ndoa. Akizungumza na waandishi wa Habari katika mkutano huo Mkurugenzi wa Shirika la Msichana intiative Rebeka Gyumi amesema wamekutana…

Read More

Pointi sita za kimkakati Simba CAFCC

SIMBA tayari ina pointi tatu ilizopata juzi kwa kuifunga FC Bravos do Maquis ya Angola nyumbani bao 1-0 kupitia Jean Charles Ahoua dakika ya 27, lakini mashabiki na viongozi wa Simba wameiona timu yao ikicheza chini ya kiwango huku Bravos ambao walifika nchini siku moja kabla ya mechi wakionekana kuwa moto hasa kipindi cha pili….

Read More