Si kila uvimbe ni saratani

Desemba Mosi 2024, siku ya Jumapili ni siku ya Ukimwi/VVU duniani. Huu ni ugonjwa sugu unaoambukiza na ni moja ya kihatarishi cha kujitokeza kwa uvimbe mbalimbali, ikiwamo saratani. Katika kuelekea kuadhimisha siku hii, leo tutapata ufahamu kuhusu uvimbe hafifu na saratani. Ni kawaida kwa mwanadamu yeyote kupata mshtuko pale anapopata uvimbe wowote mwilini. Mara nyingi…

Read More

Yanga yapewa njia mpya CAFCL

MATOKEO ya kufungwa mabao 2-0 nyumbani kutoka kwa Al Hilal kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, yameendeleza mkosi ambao Yanga imekuwa nao kwenye mechi za mwanzo za hatua ya makundi ya mashindano ya klabu Afrika huku makocha wakiwapa njia mbadala. Mabao ya Adama Coulibaly katika dakika ya 63  na Yasir Mozamil katika dakika ya 90 ya…

Read More

Watoto hatarini usugu wa dawa za antibaotiki

Mwanza. Utafiti mpya umeonesha watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano na watu waishio na maambukizi ya virusi vya Ukimwi (VVU) ni waathirika zaidi wa usugu wa vimelea dhidi ya dawa za antibaotiki mwilini (Uvida). Utafiti huo uliofanywa jijini Dar es Salaam, ulilenga kuangalia tabia za bakteria wenye kuhimili dawa nyingi miongoni mwa watoto…

Read More

Chanzo cha H. Pylori na jinsi ya kuiepuka

Dar es Salaam. Unaweza ukawa na maumivu makali ya tumbo yanayokufanya uhisi kama linawaka moto, limejaa gesi huku ukihisi kichefuchefu na hata kutapika, ukafikiria una vidonda vya tumbo. Ukipata dalili hizi ni vyema kufika hospitali kufanyiwa vipimo na uchunguzi wa kitabibu kwa sababu huenda ukawa unasumbuliwa na bakteria aina ya H. Pylori. Akizungumza na Mwananchi…

Read More

Dk Ndugulile atakumbukwa kwa misimamo yake

Dar es Salaam. Aliyekuwa mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Kanda ya Afrika, Dk Faustine Ndugulile, alikuwa mtu mwenye msimamo, aliyesimamia maadili ya kitaaluma. Dk Ndugulile (55) alifariki dunia usiku wa kuamia jana Jumatano, Novemba 27, 2024 nchini India alikokuwa akipatiwa matibabu. Wakati Tanzania ilipochukua njia isiyo ya kawaida…

Read More

Ngariba wanapovuka mipaka kukeketa mabinti -3

Tarime. Mpaka wa Sirari wilayani Tarime, mkoani Mara umekuwa ukitumiwa na ngariba kuvuka kati ya Tanzania na Kenya kutekeleza vitendo vya ukeketaji. Imebainika takribani wasichana 100 hukeketwa kila msimu kutokana na mbinu hiyo ya ngariba kuvuka mipaka na kutekeleza tendo hilo ambalo kimila linajulikana kama tohara, japo kwa jicho la sheria ni jinai. Maeneo yanayotajwa…

Read More

Hukumu ya aliyekuwa RC Simiyu kutolewa leo

Mwanza. Hukumu ya kesi ya kulawiti inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu (RC), Dk Yahya Nawanda inatarajiwa kusomwa leo Ijumaa Novemba 29, 2024, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza. Kesi hiyo ya kulawiti namba 1883/2024, inasikilizwa mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Erick Marley. Mara ya mwisho kuripoti mwenendo wa kesi hiyo…

Read More