Mitazamo tofauti uchaguzi serikali za mitaa

Dar es Salaam.  Uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji uliofanyika juzi umewaibua wadau mbalimbali – vyama vya siasa, Kanisa Katoliki na wengine wakiwa na maoni tofauti kuhusu mchakato huo. Miongoni mwa wadau hao wamo wanaosema mchakato haukuwa huru na haki, ulighubikwa na kasoro zilizowakosesha ushindi na wengine wakisema ulikwenda vizuri na kuwa hakuna…

Read More

RAIS SAMIA ATUNUKU KAMISHENI KWA MAAFISA WANAFUNZI 236

Na Pamela Mollel,Arusha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Samia Suluhu Hassan,ametunuku kamisheni kwa Maafisa Wanafunzi 236 cheo cha luteni Usu,kwa kundi la 05/21-shahada ya Sayansi ya kijeshi(BMS)na kundi la 71/23-Regular katika chuo cha Mafunzo ya kijeshi Monduli leo tarehe 28 Novemba 2024 Aidha kati ya wahitumu hao wanaume 196…

Read More

Wafanyabiashara watakiwa kupenda wanachokifanya kuongeza ubora

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital WAFANYABIASHARA na wajasiriamali nchini wametakiwa kupenda kile wanachokifanya ili kuhakikisha wanazalisha bidhaa zenye ubora, wanakuza mitaji pamoja na kupambana na changamoto mbalimbali wanazokumbana nazo katika shughuli zao za kila siku. Hayo yamebainishwa jijini Dar es Salaam Novemba 28, 2024 na Mkufunzi wa mambo ya Tehama na Teknolojia, Mihayo Wilmore wakati…

Read More

Wenyeviti waomba nyongeza ya posho

Kibaha . Wenyeviti wa serikali za mitaa 73 kutoka Halmashauri ya Mji wa Kibaha, Mkoa wa Pwani, wameomba kuongezwa kwa posho wanayopokea kutoka Sh10,000 hadi Sh50,000. Wenyeviti hao wameomba Serikali kufanyia tathmini kiwango hicho wanacholipwa sasa kwa kuwa hakiwawezeshi kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi. Wakizungumza na Mwananchi muda mfupi baada ya kuapishwa wenyeviti hao wamesema…

Read More