Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM) Rais Mstaatu Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza Duru ya Nne na ya mwisho ya Mahafali ya 54
Month: November 2024

Mbeya. Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Exaud Kigahe amekitaka Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kushirikiana na taasisi nyingine, kuwekeza nguvu kwenye programu atamizi

Na Happiness Shayo- Kilimanjaro Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amewataka Wahitimu wa Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori MWEKA

Unguja. Kamisheni ya kukabiliana na maafa Zanzibar imesisitiza jamii kuchukua tahadhari ya matumizi ya nishati ya umeme na gesi kuepusha athari zinazoweza kujitokeza. Kauli hiyo

Na.MWANDISHI WETU – RUVUMA Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, na Uratibu Mheshimiwa Ummy Nderiananga ametoa wito kwa vijana nchini

Dar es Salaam. Ili kuwalinda watoto na ndoa za utotoni, viongozi wa dini wameshauri hatua za kisheria na kisera, huku wakigusia msimamo wa imani mbalimbali

Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mhe. Mama Salma Kikwete ambaye pia ni Mbunge wa Mchinga jioni ya leo Jumamosi Novemba 30, 2024

Tarehe 2 Desemba, nchi kutoka duniani kote zitafanya hivyo kukutana huko Riyadh chini ya mwamvuli wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Kupambana na Kuenea

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imetoa angalizo la uwepo wa vipindi vifupi vya mvua kubwa katika maeneo machache ya mikoa

Naibu Waziri Mkuu Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Dotto Biteko akitoa pongezi kwa Meneja Uhusiano wa Barrick, Georgia Mutagahywa kwa ushindi wa North Mara