PROF. NOMBO AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA MAWAZIRI WA SAYANSI YA NYUKLIA NA TEKNOLOJIA VIENNA AUSTRIA

Katibu Mkuu Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo aongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa Mawaziri wa Sayansi ya nyuklia na Teknolojia wa Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomiki (IAEA) unaofanyika jijini Vienna Austria kuanzia tarehe 26-28 Novemba,2024. Katika Mkutano huo ambao anamwakilisha Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof….

Read More

Madaktari bingwa 20 waenda Comoro kutoa matibabu

  MADAKTARI bingwa 20 kutoka hospitali kubwa nchini wamesafiri kwenda nchini Comoro kwaajili ya kuweka kambi ya wiki moja ya uchunguzi na utoaji huduma za kibingwa za magonjwa mbalimbali ikiwemo upasuaji wa moyo, saratani na ubongo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Madaktari hao wanatoka Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Taasisi ya Saratani…

Read More

Wakulima waidai NFRA Sh63 bilioni

Dar es Salaam. Wakulima wa mahindi nchini Tanzania wamedai hawajalipwa Sh63 bilioni wanazodai kutoka kwa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) kwa mazao waliyouza kati ya Julai na Novemba 2024. Kwa mujibu wa NFRA, wakulima walikabidhi tani 429,000 za mahindi zenye thamani ya Sh305 bilioni katika awamu ya kwanza ya ununuzi. Hata hivyo,…

Read More

BARRICK YAPOKEA UAMUZI WA MAHAKAMA YA JUU YA ONTARIO WA KUTUPILIA MBALI SHAURI KUHUSU MGODI WA DHAHABU WA NORTH MARA

  Kampuni ya Dhahabu ya Barrick (NYSE:GOLD)(TSX:ABX) imepokea kwa furaha uamuzi wa Mahakama ya Juu ya Ontario wa kutupilia mbali madai yaliyotolewa na wakazi wa Tanzania waliokuwa wakilalamikia ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na askari wa Jeshi la Polisi Tanzania jirani na mgodi wa dhahabu wa kampuni hiyo wa North Mara.   Mahakama hiyo…

Read More

Ahoua, Camara walivyoibeba Simba Kwa Mkapa

NYOTA wa Simba, Jean Charles Ahoua na Moussa Camara wamekihakikishia kikosi hicho kuondoka na pointi tatu muhimu katika ushindi wa bao 1-0, dhidi ya Bravos do Maquis ya Angola kwenye mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika. Katika mchezo huo wa kundi ‘A’ uliopigwa juzi, Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar…

Read More

Askofu Ruwa’ichi atoa msimamo wa TEC uchaguzi serikali za mitaa

Dar es Salaam. Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) limeeleza kusikitishwa na matukio ya mauaji yaliyoripitiwa wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji uliofanyika nchini kote Novemba 27, 2024. Kutokana na hilo, TEC limeitaka Serikali kuwajibika katika kuhakikisha inalinda wananchi wakiwemo wanasiasa nyakati zote. Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Tume…

Read More