Jukwa la Wahariri lamtumia salamu Jerry Silaa

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) limesema haliridhishwi na mwenendo wa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa kwa kile walichodai kuwa amekuwa hatoi ushirikiano. Kauli hiyo imetolewa leo Novemba 7,2024 na Mwenyekiti wa TEF, Deodatus Balile, wakati wa mkutano mkuu wa nane wa jukwaa hilo unaofanyika jijini…

Read More

Kongamano la kimataifa la madini kufanyika Dar

Dar es Salaam. Zaidi ya washiriki 1,000 wakiwemo wafanyabiashara, wachimbaji wa madini wakubwa na wadogo wanatarajia kuhudhuria kongamano la kimataifa la madini linalotarajiwa kufanyika kwa siku tatu nchini. Kongamano hilo litakalofanyika jijini Dar es Salaam kuanzia Novemba 19 hadi 21, 2024 litahudhuriwa na mabalozi wanaowakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali duniani na wale wanaowakilisha mataifa ya…

Read More

Walia kupoteza fedha mradi wa kuku

Dar es Salaam. Sikio la kufa halisikii dawa, ni msemo unaoakisi yaliyowafika wanachama wa Taasisi ya Tanzania Community Empowerment Association (Tancea) takribani 50,000 kutoka mikoa mbalimbali nchini. Taasisi hiyo ilianzishwa Julai 2021 kwa lengo la kuwasaidia wafugaji wa kuku kupata mitaji, mabanda, vyakula na dawa za kuku wa nyama (broilers). Baadhi ya wanachama waliozungumza na…

Read More

RAIS DKT.MWINYI KUZINDUA OFISI NA MAABARA YA TEKNOLOJIA YA NYUKLIA ZANZIBAR

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda,akizungumza na waandishi wahabari leo Novemba 7,2024 jijini Dodoma kuhusu uzinduzi wa Ofisi na maabara za Tume  ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) zilizojengwa eneo la DungaZuze Zanzibar  Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Omary Kipanga,akizungumza na waandishi wahabari kuhusu uzinduzi wa Ofisi na maabara…

Read More