Kiama kampuni za upimaji ardhi

Dodoma. Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeanza ukaguzi wa kampuni zote za urasimishaji ardhi ili kuona uwezo wao wa kutekeleza majukumu ambayo wamekuwa wakienda kuomba katika halmashauri nchini. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Deogratius Ndejembi amesema hayo bungeni leo Novemba 7, 2024 alipojibu maswali ya nyongeza ya Mbunge wa…

Read More

Ziara ya Rais Samia Cuba yasogezwa mbele

Dar es Salaam. Ziara ya kitaifa ya siku mbili ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini Cuba iliyopangwa kufanyika kuanzia Novemba 6 hadi 8, 2024 imesogezwa mbele kutokana na kuchafuka kwa hali ya hewa iliyosababisha ndege kushindwa kutua. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo ameeleza hayo leo Alhamisi…

Read More

NBAA YAPAA KIMATAIFA – MICHUZI BLOG

Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imeshiriki mkutano wa Baraza la Shirikisho la Wahasibu Duniani (IFAC Council 2024) unaofanyika jijini Paris nchini Ufaransa kuanzia tarehe 6 hadi 7 Novemba, 2024 ambapo kwenye mkutano huo mambo mbalimbali yamejadiliwa ili kuendeleza taaluma ya Uhasibu duniani. Katika mkutano huo Tanzania kupitia NBAA iliwakilishwa…

Read More

Yanga yapigwa tena Chamazi | Mwanaspoti

HUWEZI kuamini, ila ndivyo ukweli ulivyo, Yanga jana imechana mikeka ya wengi baada ya kupoteza mechi ya pili mfululizo katika Ligi Kuu Bara msimu huu ikiwa ni rekodi mbaya kwa klabu hiyo na kwa kocha Miguel Gamondi, baada ya kufumuliwa mabao 3-1 na Tabora United ikiwa kwenye uwanja wa nyumbani, jijini Dar. Yanga ilikuwa imecheza…

Read More

Watafiti wapendekeza njia kumaliza migogoro ya rasilimali

Dar es Salaam. Kushirikisha kikamilifu jamii wenyeji katika kusimamia na kunufaika na rasilimali zilizopo maeneo yao, kunatajwa kuwa suluhisho la kudumu la utatuzi wa migogoro inayohusu matumizi ya maliasili nchini. Hayo yameelezwa na watafiti katika mhadhara kwa umma uliofanyika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), ukiwa sehemu ya kongamano la kimataifa la nane la…

Read More

ASMA MWINYI AAHIDI KUTOA MIFUKO 100 YA SARUJI KUSAIDIA KUBORESHA MIUNDOMBINU VETA PWANI

MKURUGENZI Mkuu wa Asma Mwinyi Foundation (AMF) Asma Mwinyi amewahimiza vijana wa VETA Pwani wanaohiti na wale wanaoendelea na masomo kutumia vizuri fursa ya ujuzi na kufanya bunifu zitakazoenda kutatua changamoto zilizoko katika jamii. Alisema kwa kufanya hivyo itasaidia kuleta maana halisi ya kaulimbiu inayesema (Elimu, Ujuzi na Ubunifu kwa uchumi endelevu) akieleza kwamba ujuzi…

Read More

Ajali ya ‘kipanya’ yaua 14 Tabora, tisa wajeruhiwa

Tabora. Jinamizi la ajali limeendelea kutikisa nchini baada ya watu 14 kufariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa katika ajali iliyotokea Barabara ya Itobo – Bukene, Wilaya ya Nzega, mkoani Tabora. Ajali hiyo imetokea leo Alhamisi, saa 2:20 asubuhi Novemba 7, 2024 katika Kijiji cha Mwasengo Kata ya Itobo baada ya gari dogo ya abiria aina…

Read More

BILIONI 4.17 KUTATUA KERO YA MAJI KATA YA KIHURIO SAME.

NA WILLIUM PAUL, SAME. WANANCHI wa Kata ya Kihurio wilayani Same Mkoani Kilimanjaro wameishukuru Serikali kuwapatia mradi mkubwa wa maji unaogharimu zaidi ya shilingi Bilioni 4.17 ambao utakuwa mwarobaini wa changamoto ya upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama kwa wananchi zaidi ya 10,000 wa Kata hiyo. Pili Salim, ni miongoni mwao Wakazi wa…

Read More