Ushindi wa Trump wazua mtafaruku Democratic

Dodoma. Ushindi wa Donald Trump katika uchaguzi wa Marekani umeibua mgawanyiko ndani ya Chama cha Democratic, wakishutumiana kusababisha kushindwa kwenye uchaguzi huo na Republican. Wengine wanamlaumu Rais Joe Biden kwa kujitoa katika kinyang’anyiro wakati usio muafaka, hatua wanayoamini iliongeza mzigo kwa chama hicho kongwe nchini Marekani kilichoanzishwa mwaka 1828. Katika uchaguzi wa Novemba 5, Trump…

Read More

Ushindi wa Trump wazua mtafaruku Democrat

Dodoma. Ushindi wa Donald Trump katika uchaguzi wa Marekani umeibua mgawanyiko ndani ya Chama cha Democrat, wakishutumiana kusababisha kushindwa kwenye uchaguzi huo na Republican. Wengine wanamlaumu Rais Joe Biden kwa kujitoa katika kinyang’anyiro wakati usio muafaka, hatua wanayoamini iliongeza mzigo kwa chama hicho kongwe nchini Marekani kilichoanzishwa mwaka 1828. Katika uchaguzi wa Novemba 5, Trump…

Read More

Lwasa: sasa nitafunga sana! | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji wa Kagera Sugar Mganda, Peter Lwasa amesema baada ya kuondoka kwa aliyekuwa kocha mkuu wa kikosi hicho, Paul Nkata, alihisi huenda angepitia changamoto ya kucheza ingawa anashukuru ameendelea kuaminiwa na benchi jipya. Nyota huyo aliyejiunga na kikosi hicho msimu huu baada ya kuachana na KCCA FC ya kwao Uganda, alisema Nkata ndiye sababu…

Read More

Takukuru yazipa siku 90 taasisi 18 kulipa Sh4 bilioni

Mbeya. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Mkoa wa Mbeya kwa kushirikiana na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) imezipa siku 90 taasisi 18 kuwasilisha mafao ya Sh4 bilioni ya wafanyakazi wao. Akizungumza leo Alhamisi Novemba 7, 2024 na waandishi wa habari, Mkuu wa Takukuru mkoani humo, Maghela Ndimbo amesema hadi…

Read More

EWURA YAHAKIKI TAARIFA ZA MAMLAKA ZA MAJI 82 NCHINI

Mkurugenzi wa Gesi Asilia EWURA, Mha. Poline Msuya, akizungumza na watendaji wa Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira nchini, kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, wakati wa kikao kazi cha kuhakiki taarifa za utendaji za mamlaka hizo kilichofanyika Ofisi za EWURA makao makuu jijini Dodoma. …….. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati…

Read More

BASHIRI NA MERIDIANBET AHAMISI YA LEO

ALHAMISI ni kwaajili ya mechi za EUROPA na leo hii kuna mechi zaidi ya 10 ambazo zinaenda kukupatia mkwanja wa maana. Usipitwe na ODDS KUBWA ndani ya Meridianbet, beti sasa. Suka jamvi lako kwenye mechi ya Galatasaray vs Tottenham Spurs ambapo timu hizi zimetofautina pointi 2 pekee kwenyeji yupo nafasi ya 5 na mgeni wake…

Read More