AIRTEL WAZINDUA DUKA KATIKA KITUO CHA TRENI YA SASA DAR

Mtendaji Mkuu wa TRC, Masanja Kadongosa akikata utepe kuashiria uzinduzi wa duka la Airtel katika kituo cha Treni ya Kisasa kilichopo jijini Dar es Salaam, leo Novemba 07, 2024. Mkurungezi wa Mawasiliano kutoka kampuni ya Artel Tanzania Beatrice Singano akifafanua jambo leo mara baada ya uzinduzi wa duka katika kituo cha Treli ya Kisasa jijini…

Read More

KONGAMANO LA UWEKEZAJI KUFANYIKA NCHINI SAUDIA ARABIA DESEMBA, 2024 WAFANYABIASHARA, WAWEKEZAJI WAOMBWA KUJISAJILI MAPEMA

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo Cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Gilead Teri akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Novemba 7,2024, kuhusiana na Kongamano la Uwekezaji litakalofanyika nchini Saudia Arabia katika mji wa Riyadh. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Rafael Maganga akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam…

Read More

Viongozi wa Kanda ya Kiarabu, Wataalamu Wakusanyika Kupata Suluhisho la Uhaba wa Maji, Maendeleo Endelevu – Masuala ya Ulimwenguni

Jukwaa la Wabunge wa Wabunge wa Kiarabu kuhusu Idadi ya Watu na Maendeleo lilikutana nchini Bahrain ili kushughulikia uhaba wa maji. Credit: APDA na Joyce Chimbi (manama & nairobi) Alhamisi, Novemba 07, 2024 Inter Press Service MANAMA & NAIROBI, Nov 07 (IPS) – Eneo la Uarabuni ni miongoni mwa maeneo yenye uhaba wa maji duniani,…

Read More

Wiki mbili zinamtosha Minziro | Mwanaspoti

KOCHA Mkuu wa Pamba, Fredy Felix ‘Minziro’, amesema baada ya timu hiyo kupata ushindi wa kwanza wa Ligi Kuu Bara msimu huu wa mabao 3-1, dhidi ya Fountain Gate Novemba 5, kwa sasa kikosi hicho kitakuwa na siku 14 za kufanyia marekebisho. Timu hiyo iliyopanda Ligi Kuu Bara msimu huu, ilipata ushindi huo wa kwanza…

Read More

Teknolojia kuongeza ubora, kupunguza upotevu wa mwani

Unguja. Changamoto ya wakulima wa mwani kutegemea jua kukausha zao hilo baada ya kuvuna, huenda likapata ufumbuzi baada ya kupatikana teknolojia ya kukausha ambayo itasaidia pia kuongeza ubora na kupunguza upotevu baada ya kuvunwa. Uharibifu wa mwani na kukosekana kwa soko la uhakika ni kikwazo kwa wakulima hao, licha ya Zanzibar kuwa mzalishaji mkuu wa…

Read More

RAIS DKT. MWINYI AZINDUA OFISI YA ZIPA SHANGHAI CHINA

  RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi amefungua rasmi ofisi ya wakala wa Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) iliyopo maeneo ya Minhang, jengo la Ling Hang Group, Shanghai.   Katika hafla hiyo fupi ya ufunguzi rasmi wa ofisi iliyofanyika leo  Novemba 07,  2024 Shanghai, China,  Rais…

Read More