RAIS DK SAMIA SULUHU HASSAN KUFUNGUA MKUTANO WA WAHASIBU WAKUU WA SERIKALI BARANI AFRIKA

RAIS Dkt.Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufungua mkutano wa Kimataifa wa wahasibu wakuu wa Serikali kutoka nchi 57 barani Afrika unaotarajiwa kufanyika kuanzia Disemba 2 hadi Disemba 5 mwaka 2024 Jijini Arusha. Akizungumza mkoani Morogoro leo Novemba 7,2024 wakati wa semina ya Wahariri wa Vyombo vya Habari nchini iliyoandaliwa na Wizara ya Fedha,Mhasibu Mkuu wa Serikali…

Read More

Wazee miaka 60 kupamba bonanza la michezo MZRH

HOSPITALI ya Rufaa Kanda ya Mbeya (MZRH) imeandaa bonanza la michezo mbalimbali itakayopambwa na wazee wenye umri wa miaka 60  kufukuza kuku na kuvuta kamba. Bonanza hilo linatarajiwa kufanyika Novemba 9 mwaka huu kwenye Viwanja vya Chuo cha Uhasibu (TIA) ikiwa ni kuadhimisha wiki ya upimaji wa  magonjwa yasiyoambukizwa. Katibu wa mashindano hayo, Joyce Komba…

Read More

REA kupeleka umeme visiwa vyote Tanzania Bara

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza rasmi safari ya kupeleka umeme katika visiwa vyote Tanzania Bara huku ikiwahakikishia wananchi hao kuwa wote watafikiwa. Akizungumza wakati wa ziara ya Wabia wa Maendeleo walipotembelea miradi mbalimbali inayotekelezwa na REA, Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Mhe. Balozi, Meja…

Read More

TANZANIA YAPANDA VIWANGO UTAWALA WA SHERIA DUNIANI

  Chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, imepiga hatua ya kihistoria kuelekea mfumo wa kisheria unaowajibika zaidi na wa haki, kama inavyoonekana katika Ripoti ya 2024 ya Mradi wa Haki Duniani (WJP) kuhusu Utawala wa Sheria.  Hatua za utawala wake dhidi ya ufisadi zimeimarisha heshima ya kimataifa ya Tanzania, zikionyesha dhamira yake kwa…

Read More

Bashiri na Meridianbet Alhamisi ya leo

Alhamisi ni kwaajili ya mechi za EUROPA na leo hii kuna mechi zaidi ya 10 ambazo zinaenda kukupatia mkwanja wa maana. Usipitwe na ODDS KUBWA ndani ya Meridianbet, beti sasa. Suka jamvi lako kwenye mechi ya Galatasaray vs Tottenham Spurs ambapo timu hizi zimetofautina pointi 2 pekee mwenyeji yupo nafasi ya 5 na mgeni wake…

Read More

Wenye viashiria vya rushwa wasipewe nafasi

Mwanza. Katika kipindi cha Januari hadi Juni, 2024 Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) katika mikoa mbalimbali nchini imetoa taarifa za utekelezaji wa shughuli zake, ikiwemo malalamiko ya rushwa iliyopokea na kuyafanyia kazi. Katika taarifa hizo, miongoni mwa maeneo mengi yaliyolalamikiwa kuomba na kupokea rushwa ni serikali za mitaa ambazo zipo chini Ofisi…

Read More

TGNP YATOA MAFUNZO KWA WANAWAKE WAGOMBEA SERIKALI ZA MITAA

Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), umeendelea na utaratibu wake wa kujengea uwezo wanawake viongozi katika Mamlaka za serikali za Mitaa ili waweze kuendeelea kubeba agenda ya usawa wa Kijinsia katika uongozi na kuwezesha wanawake wanaotarajiwa kuwa viongozi kujenga hoja zenye mtazamo wa kijinsia zitakazokubalika na wananchi Mafunzo hayo ya siku mbili, yanawahusisha wanawake kutoka vyama…

Read More