AKILI ZA KIJIWENI: Bora Msuva, Kapombe walivyorudi Stars

MJADALA hapa ni uteuzi wa kikosi cha Taifa Stars ambacho kitacheza mechi mbili za kuwania kufuzu fainali za mataifa ya Afrika (Afcon) 2025 dhidi ya Ethiopia na Guinea hapo baadaye. Kuchaguliwa kwa Shomari Kapombe na Saimon Msuva ndiyo kumepokelewa vyema na washkaji hapa kijiweni na wanaamini wawili hao walipaswa kuitwa mapema. Vijana tunaotegemea wabebe mikoba…

Read More

Wahariri wamparura Waziri Silaa kwa kuwakacha

  JUKWAA la Wahariri nchini (TEF), limemtahadharisha Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Jerry Silaa kuacha tabia ya kutoshirikiana na taasisi za habari zinazomualika kwenye matukio yao. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). TEF wamesema kama hatabadili tabia hiyo wanaweza kutoa azimio la kutofanya kazi kama walivyofanya siku za nyuma kwa…

Read More

Sababu Geita kukubwa na mafuriko zatajwa

Geita. Uchunguzi uliofanywa na kamati ya maafa ya Wilaya ya Geita umebaini chanzo cha mafuriko yaliyotokana na mvua iliyonyesha kwa saa moja ni ujenzi kwenye njia za asili za kupita maji na uchafu kutupwa kwenye mitaro. Uchunguzi huo umewekwa hadharani Novemba 6, 2024 mjini Geita, ikiwa ni siku moja baada ya mafuriko hayo kutokea, huku…

Read More

DC Nassari afyungua Kongamano la Wafanyabiashara wilayani Magu

  MKUU wa Wilaya ya Magu, Joshua Nassari amesema Serikali inatambua mchango wa wafanyabiashara wilayani humo katika kukuza uchumi wa wilaya na nchi kwa ujumla. Anaripoti Mwandishi Wetu, Magu, Mwanza … (endelea). DC Nassari ameyasema hayo wakati akifungua kongamano la wafanyabiashara Wilayani Magu lilofanyika Novemba 07,2024 katika ukumbi wa CCM Magu ambapo alibainisha kuwa serikali…

Read More

Serikali yapigia chapuo kilimo | Mwananchi

Iringa. Serikali imejenga uwezo wa wadadisi na wasimamizi wa utafiti wa kilimo 178 kutoka maeneo mbalimbali nchini ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuimarisha sera na utekelezaji wa mipango endelevu inayolenga kukuza sekta ya kilimo, ufugaji, na uvuvi kwa lengo la kuongeza uzalishaji wa chakula. Hayo yamebanishwa na Mwananchi Digital leo wakati wa kufunga mafunzo…

Read More

Trump kikwazo wanawake kuingia White House

Dar es Salaam. Donald Trump amekuwa kikwazo kwa wagombea wanawake kuingia Ikulu ya White House, ndivyo unavyoweza kusema kutokana na ushindi wake dhidi yao anapogombea nao. Bilionea huyo kutoka Jiji la New York amegombea urais mara tatu, mwaka 2016, 2020 na 2024. Katika awamu alizogombea, ameshinda mara mbili na amepoteza mara moja. Trump amekuwa Rais…

Read More

Rais Mwinyi: SMZ kujenga kiwanja kipya cha mpira kwa Afcon2027

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameendelea na ziara ya kikazi nchini China ambapo leo amekutana na kampuni mbalimbali zinazolenga kuwekeza Zanzibar. Katika mwendelezo wa ziara hiyo Rais Dk. Mwinyi pia, amekutana na uongozi wa kampuni maarufu na yenye uzoefu wa miaka mingi, China Railway Construction Engineering…

Read More

Serikali ya Ujerumani yasambaratika – DW – 07.11.2024

Muungano tawala wa Ujerumani ulisambaratika baada ya miaka mingi ya misuguano kufikia kilele chake kuhusiana na sera ya kiuchumi na bajeti katika taifa hilo kubwa kabisa kiuchumi barani Ulaya. Hayo yalijiri muda mfupi tu baada ya Donald Trump kushinda uchaguzi wa rais Marekani. Soma pia: Upinzani nchini Ujerumani washinikiza uchaguzi wa mapema Scholz, wa chama cha siasa…

Read More