RAIS MWINYI: SMZ KUJENGA KIWANJA KIPYA CHA MPIRA – AFCON2027

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameendelea na ziara ya kikazi nchini China ambapo leo amekutana na kampuni mbalimbali zinazolenga kuwekeza Zanzibar.  Katika mwendelezo wa ziara hiyo Rais Dk. Mwinyi pia, amekutana na uongozi wa kampuni maarufu na yenye uzoefu wa miaka mingi, China Railway Construction Engineering…

Read More

Hustle Culture Yaibuka nchini Benin Kukabiliana na Ukosefu wa Ajira kwa Wahitimu wa Juu – Masuala ya Ulimwenguni

Christophe Aïnagnon aliacha shahada ya sayansi kwa sababu alitambua kuwa hangeweza kupata kazi na shahada yake. Credit: Megan Fahrney/IPS na Megan Fahrney (cotonou) Alhamisi, Novemba 07, 2024 Inter Press Service COTONOU, Nov 07 (IPS) – Akiwa na miaka 11 tu, akiwa na moyo mzito, Louis aliwatazama wazazi wake na kuwaaga. Alikuwa akiondoka katika kijiji chake…

Read More

Pazi aanika siri za makipa Bara

ACHANA na ushindi wa kwanza wa Pamba Jiji walioupata jana ugenini, Kipa wa Fountain Gate, Fikirini Bakari anakuwa miongoni mwa makipa watano Ligi Kuu kufanya makosa ya kuzigharimu timu zao. Pamba Jiji iliyopanda Ligi Kuu msimu huu, ilikuwa timu pekee iliyokuwa haijaonja ushindi wowote kwenye michezo 10 iliyocheza na kuwa katika nafasi mbili za mkiani….

Read More

Kilichoiponza Geita kukumbwa na mafuriko hiki hapa

Geita. Uchunguzi uliofanywa na kamati ya maafa ya Wilaya ya Geita umebaini chanzo cha mafuriko yaliyotokana na mvua iliyonyesha kwa saa moja ni ujenzi kwenye njia za asili za kupita maji na uchafu kutupwa kwenye mitaro. Uchunguzi huo umewekwa hadharani Novemba 6, 2024 mjini Geita, ikiwa ni siku moja baada ya mafuriko hayo kutokea, huku…

Read More

Mbunge CCM ahoji Serikali imejiandaaje kulinda maandamano na mikutano

Dodoma. Mbunge wa Mbongwe (CCM), Nicodemas Maganga amehoji Serikali imejipangaje kuhakikisha wanasiasa wanalindwa kikamilifu na kuhakikisha wanamaliza maandamano na mikutano yao salama wakati wa uchaguzi. Akiuliza maswali ya nyongeza bungeni Alhamisi Novemba 7, 2024, Maganga amesema mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi na katika sheria za Tanzania maandamano na mikutano ni vitu vinaruhusiwa. “Zinapoanza kampeni,…

Read More

RAIS SAMIA APELEKA NEEMA TABORA

-Aidhinisha Bilioni 19 kusambaza umeme vitongojini -Kaya 5,940 kutoka katika Vitongoji 180 kunufaika Wakala wa Nishati Vijijini (REA) unatekeleza mradi wa Shilingi Bilioni 19 wa kusambaza umeme katika vitongoji 180 utakaonufaisha Kaya 5,940 Mkoani Tabora Hayo yameelezwa na Msimamizi wa Miradi ya REA Kanda ya Magharibi, Mhandisi Robert Dulle Novemba 07, 2024 Mkoani Tabora mbele…

Read More

Ditram Nchimbi ajipa muda Biashara United

MSHAMBULIAJI wa Biashara United, Ditram Nchimbi amesema bado ni mapema kuikatia tamaa timu hiyo kwenye mbio za kupanda Ligi Kuu Bara huku akijipa muda katika kufunga mabao na kutwaa kiatu cha ufungaji bora kwenye Ligi ya Championship. Nchimbi aliyejiunga na Biashara ya Mara msimu huu baada ya kupumzika kucheza soka kwa msimu mmoja, ameshafunga bao…

Read More

BILIONI 19 KUSAMBAZA UMEME VITONGOJI 180 TABORA

Msimamizi wa Miradi ya REA Kanda ya Magharibi, Mhandisi Robert Dulle akizungumza mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha (hayupo pichani) Novemba 7, 2024 wakati wa kumtambulisha Mkandarasi anayetekeleza mradi wa kusambaza umeme vitongojini Tabora Kampuni ya Sinotec Company Ltd kutoka nchini China Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha akitoa maelekezo kwa…

Read More

Mkandarasi AUP-U atakiwa kukamilisha mradi

Unguja. Kaimu Kiongozi wa Timu ya Kazi kutoka Benki ya Dunia, Lulu Dunia amemtaka Mkandarasi wa mradi wa uimarisha Miji Unguja (AUP-U), kuuwekea mpango kazi na muda wake ili kujipima katika kuukamilisha. Mradi huo ni sehemu ya utekelezaji wa mradi mkuu wa Ukuzaji Uchumi Jumuishi Zanzibar (BIG-Z) unaogharimu Dola za Marekani 150 (Sh404.472 bilioni unaotekelezwa kwa…

Read More