Baresi awakingia kifua mastaa Mashujaa

BAADA ya vipigo viwili mfululizo, Kocha wa Mashujaa FC, Abdallah Mohamed ‘Bares’ amewakingia kifua wachezaji wake, uchovu ndiyo sababu ya kushindwa kuendana na kasi ya ushindani kutokana na kucheza mechi mfululizo. Mashujaa imepoteza mbele ya Simba bao 1-0 nyumbani na imekubali kipigo cha pili dhidi ya Tabora United ugenini ikilala bao 1-0. Akizungumza na Mwanaspoti,…

Read More

Kocha wa Maxi, Mpanzu ashushwa Tabora Utd

MABOSI wa wa Tabora United wajanja sana, saa chache kabla ya kikosi hicho kukabiliana na Yanga katika mechi ya Ligi Kuu Bara, mapema tu imeshamshusha kocha aliyewahi kuwanoa nyota kadhaa wanaotamba na timu za Simba na Yanga. Tabora inayocheza Ligi Kuu kwa msimu wa pili, imemleta kocha Anicet Kiazayidi kutoka DR Congo  aliyewahi kuzinoa timu…

Read More

Malijendi wampa ujanja mpya Manula

KIPA wa Simba, Aishi Manula imeelezwa anapaswa kurudisha morali na kujiamini, ili kurejesha kiwango chake kitakachomshawishi kocha wa Simba, Davis Fadlu kumtumia kikosi cha kwanza. Msimu uliopita Manula alikaa nje kwa muda mrefu akiuguza majeraha, baada ya kurejea akadaka mechi dhidi ya Yanga, Simba ikifungwa mabao 5-1 Novemba 6, 2023 na tangu hapo hajawa na…

Read More

Mdahalo mzito wanaotaka kuongoza Jumuiya ya wafanyabiashara wa kariakoo

Leo kumekuwa na mdahalo wa wgombea wa uongozi wa wafanyabiashara wa soko la kimataifa Karia koo ambao wagombea wanafasi ya kuanzia mwenyekiti mpaka mtumza fedha wa jumuiya ya wafanyabiashara hao walifika mbele ya wafanyabiashara kunadi hoja zao watakazoenda kutekeleza endapo wakipewa nafasi ya kuongoza katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mwezi tarehe 20. Itakumbukwa kwa mwaka huu…

Read More

Rais Mwinyi aitembelea bandari ya Shaghai

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, katika mwendelezo wa ziara yake ya kikazi nchini China, leo ametembelea Bandari ya Shanghai International Port Group (SIPG) na kukutana na uongozi wa Shirika hilo ukiongozwa na Song Xiaodong. Bandari hiyo ni kitovu muhimu cha biashara kimataifa, ikihusisha shughuli za usafirishaji,…

Read More

KASHWASA  YAFANYA KAZI SAA 24 KUREJESHA MAJI KISHAPU

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kahama Shinyanya (KASHWASA) imefanya kazi saa 24 kwa wataalam wake kurejesha huduma ya maji kwa wakazi wa Kishapu. Kazi hiyo imehusu kuweka viungo muhimu vya chuma katika bomba kuu linalotegemewa katika huduma ya maji. Hivi sasa Kishapu inapata huduma ya uhakika ya majisafi, salama na yenye kutosheleza tangu…

Read More

Sababu za kubadili sarafu katika mzunguko wa fedha

Katika mfumo wa uchumi wa sarafu kidunia (fiat money system), fedha zilizo katika mzunguko zinaweza kupitia mabadiliko kadhaa kutokana na mwenendo wa kiuchumi, matumizi ya kila siku, na jinsi zinavyohifadhiwa na watumiaji. Hivyo, kutokana na mambo haya, uimara, uthabiti, na thamani yake yanategemea pia hali hizo. Hivyo benki kuu kidunia, kama msimamizi wa mfumo wa…

Read More