Ni wakati wa kuangalia fursa za uwekezaji

Wiki hii kumekuwa na maendeleo chanya kwenye masoko ya fedha na mitaji ambapo tumeshuhudia uwepo wa fursa za uwekezaji kupitia vipande, hatifungani na pia hisa. Pia tumeona kuwa mabenki, hasa yaliyoorodheshwa kwenye soko la hisa na mitaji yakiripoti kufanya vizuri kwenye mawasilisho ya robo ya tatu ya mwaka. Inapotokea nafasi kama hizi ni wakati wa…

Read More

PROF. MWAKALILA AZUNGUMZA NA WANAFUNZI WAPYA WA CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE ASISITIZA UADILIFU NA UZALENDO

Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Profesa Shadrack Mwakalila amewataka wanafunzi wa mwaka wa kwanza wa masomo 2024/25 wa Chuo hicho kuwa Wadilifu,Waaminifu na Wazalendo kwa Chuo na Taifa kwa ujumla.   Prof. Mwakalila amesema hayo leo wakati wa kikao cha pamoja Kati ya Wafanyakazi na Wanafunzi hao wapya kikao ambacho kinefanyika katika…

Read More

WANAHARAKATI WASISITIZA UUNGWAJI MKONO KWA WANAWAKE WALIO TEULIWA NA VYAMA KUGOMBEA

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV WANAHARAKATI wa Jinsia na Maendeleo wameshauri kuwaunga mkono wanawake ambao wameteuliwa na vyama vyao kutokana na kukatwa majina ya  wanawake wengi katika mchakato wa ndani wa vyama vyao. Akizungumza jana Novemba 06,2024 Mabibo-Jjijini Dar es Salaam katika ofisi za Mtandao wa jinsia TGNP kwenye semina za jinsia na Maendeleo (GDSS)zinazofanyika…

Read More

Harris akubali kushindwa, ampongeza Donald Trump – DW – 07.11.2024

Kwanza, kama ilivyo kwa utamaduni uliozoeleka kwenye mataifa ya kidemokrasia, Bibi Harris alimpigia simu Trump kukubali kushindwa na kumpongeza rais huyo wa zamani wa Marekani kwa ushindi aloupata utakaomrejesha ikulu ya White House kwa miaka mingine minne. Kwenye hotuba yake ya kukubali kushindwa, Harris amewarai Wamarekani “kutokata tamaa” akiwataka waendelee “kupambana”. “Ingawa ninakubali kushindwa kwenye…

Read More

Athari za mkono wa Serikali katika safari ya ushirika Tanzania

Ushirika ni chombo muhimu katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Kupitia ushirika, jamii nyingi kwa pamoja zimeweza kufanikisha malengo ya kiuchumi, kupunguza umaskini, na kuongeza ustawi wa kijamii. Hata hivyo, ili ushirika uwe na mafanikio, ni muhimu kuwa na utawala bora, elimu ya kutosha kwa wanachama na ushirikiano wa dhati. Tanzania imekuwa na historia ya…

Read More

Tanzania yajipanga kuwafikia diaspora milioni moja  

Dar es Salaam. Tanzania imepanga kuwafikia diaspora wafanyakazi milioni moja ifikapo mwaka 2028. Pia inataka diaspora hao ambao ni Watanzania waishio ughaibuni kuchangia Dola 1.5 bilioni (sawa na Sh3.75 trilioni) ikiwa ni mara mbili zaidi ya wanazochangia sasa ambazo ni zaidi ya Dola 600 milioni (sawa na Sh1.5 trilioni). Hayo yameelezwa Novemba 6, 2024 kwenye…

Read More

Yanga bila Job, Bacca itakuwaje? Tabora yapiga mkwara

YANGA kwa mara ya kwanza msimu huu, inashuka uwanjani katika Ligi Kuu Bara bila ya mabeki wawili wa kati, Dickson Job na Ibrahim Bacca, itakapoikabili Tabora United yenye kocha mpya aliyewahi kuwanoa mastaa wa DR Congo akiwamo Maxi Nzengeli, Ellie Mpanzu, huku timu hiyo ikitamba itatonesha kidonda. Mabeki hao wanatumikia adhabu ya kadi, huku Yanga…

Read More