RAIS SAMIA ANATARAJIWA KUZINDUA MFUMO WA MIKOPO WENYE THAMANI YA BILIONI 2.3…
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan anatarajia kuzindua rasmi mfuko wa mikopo wenye kianzio cha shilingi bilioni 2.3 kwajili ya kusaidia ubidhaisha na ubiasharishaji wa bunifu na Teknolojia iznazobuniwa na vijana wa Kitanzania katika Kongama o la STICE 2024. Hayo yameelezwa na Waziri Elimu…