Sh11.18 bilioni kusambaza umeme kaya 2,970 Shinyanga

Shinyanga. Kaya 2,970 katika Mkoa wa Shinyanga zinatarajia kufaidika na mradi wa umeme wenye thamani ya Sh11.18 bilioni unaotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Katika vitongoji 2,703 vya mkoa huo, ni vitongoji 930 pekee ambavyo tayari vina huduma ya umeme, huku vitongoji 1,773 vikiwa bado havijapata huduma hiyo. Akizungumza leo Jumatano Novemba 6, 2024,…

Read More

Utafiti wa MUHAS Wabaini kuwa matumizi ya viuatilifu kwa wazalishaji wa mbogamboga na mazao ya chakula ni Makubwa

Mkuu wa Afya kazini kutoka Wizara ya Afya, Joseph Birago na Makamu Mkuu wa MUHAS, Profesa Apolinary Kamuhabwa wakitoa zawadi kwa washiriki wa tafiti  mbambali zilizofanyika nchini kote juu ya madhara ya viuatilifu kwa binadamu. Na Karama Kenyunko Michuzi Tv UTAFITI uliofanywa na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) umebaini matumizi makubwa…

Read More

Ushindi wa Trump una tafsiri nyingi kwa Afrika

Dodoma/Dar. Wakati mgombea urais wa Republican nchini Marekani, Donald Trump amerejea Ikulu, ushindi wake wake umeelezwa kuwa na athari mpya kwa Afrika, hasa katika masuala ya biashara, uhamiaji na msaada wa kimataifa. Sera zake za “America First” zinaibua wasiwasi kuhusu mustakabali wa Mpango wa Ukuaji na Fursa za Kiuchumi kwa Afrika (AGOA), misaada ya PEPFAR…

Read More

Kuna swali! Ahoua hashiki, Simba kileleni

KUNA maswali? Ndivyo mashabiki wa Simba walivyokuwa wakihoji kwa furaha kwenye Uwanja wa KMC, wakati timu hiyo ikiikandika KMC kwa mabao 4-0 na kupanda kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara ikiishusha Yanga, inayoshuka uwanjani jioni ya leo. Mashabiki walikuwa wakiuliza kwa kejeli kutokana na mabao mawili ya kiungo mshambuliaji, Jean Charles Ahoua yaliyomfanya nyota…

Read More

Marekani kwanza kwa mara ya pili – DW – 06.11.2024

Donald J. Trump ndiye rais mpya wa Marekani, akishinda kura za kutosha za wajumbe maalum wa majimbo (270 zinahitajika ili kushinda) kujitangazia ushindi wa uchaguzi wa 2024. Alishinda majimbo muhimu kama Pennsylvania, Georgia, North Carolina, na Wisconsin. Awali, alikuwa rais kuanzia mwaka 2017 hadi 2021. Wafuasi wanamchukulia rais huyo wa Republican kama mwokozi na shujaa,…

Read More

Walalama kunyeshewa mvua, kusafiri na mifugo kwenye kivuko

Buchosa. Kunyeshewa mvua, kubanana pamoja na kubeba abiria na mifugo kwa wakati mmoja ni miongoni mwa adha wanayokutana nayo wakazi wa Kisiwa cha Kome Halmashauri ya Buchosa mkoani Mwanza katika Kivuko cha Kome II wanachokitumia. Wananchi hao wamelalamikia kadhia hiyo kwa miaka kadhaa na ilipofika mwaka 2022, Serikali iliwaahidi kuwapelekea kivuko kipya cha Mv Kome…

Read More

Vodacom Tanzania, Soko la Hisa la Dar es Salaam kuwawezesha Watanzania kiuchumi, wazindua DSE Mini App ndani ya M-Pesa Super App

Vodacom Tanzania Plc imetangaza rasmi kuingia katika ushirikiano wa kidijitali na Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE), kwa kuzindua programu ya DSE Mini App kupitia M-Pesa Super App ya Vodacom. Ushirikiano huu wa kimapinduzi unalenga kuleta mabadiliko katika upatikanaji wa masoko ya mitaji nchini Tanzania kwa kuwawezesha wawekezaji kununua, kuuza, na kusimamia uwekezaji…

Read More

Kuhifadhi Urithi wa Kitamaduni – Masuala ya Ulimwenguni

Maoni na Jan Lundius (Stockholm, sweden) Jumatano, Novemba 06, 2024 Inter Press Service Inadumu zaidi kuliko shaba, juu kuliko ya Faraopiramidi ni mnara ambao nimeunda,umbo la upepo wa hasira au mvua yenye njaahawezi kubomoa, wala safu zisizohesabikaya miaka ambayo hutembea kwa karne nyingi. Sitakufa kabisa:sehemu fulani yangu itamdanganya mungu mke wa kifo. Ndivyo alivyoandika, bila…

Read More

Wadakwa wakidaiwa kuhujumu miundombinu ya Tanesco

Tabora. Jeshi la Polisi mkoa wa Tabora linawashikilia watu saba kwa tuhuma za kuhusika na wizi wa miundombinu ya Shirika la Umeme nchini (Tanesco) Mkoa wa Tabora. Akizungumza na Mwananchi leo Jumatano Novemba 6, 2024, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Richard Abwao amesema wanawashikilia watu saba wanaodaiwa kufanya matukio hayo katika maeneo tofauti. Polisi…

Read More

Upi mtazamo wa Trump kuelekea Afrika? – DW – 06.11.2024

Kiongozi huyo mwenye mtazamo wa kizalendo anatarajiwa kuongoza nchi hiyo tena kwa kipindi cha miaka minne, ambapo atakuwa karibu na washirika wake wa kisiasa na kupambana na maadui wa ndani na nje. Ingawa Trump anaweza kuwa na mipango mahsusi ya kukuza maslahi ya Marekani, historia yake inaonyesha kwamba masuala ya Afrika mara nyingi hayajapewa kipaumbele. Ushindi…

Read More