MFUMO WA UJIFUNZAJI KIELETRONIKI (MUKI) WARASIMISHWA

Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia miundombinu Ofisi ya Rais – TAMISEMI Eng. Rogatius Mativila ameongoza kikao cha Menejimenti kurasimisha matumizi ya mfumo wa ujifunzaji Kieletroniki (MUKI) tarehe 05.11.2024. Mfumo huo umebuniwa na Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo na kufanyiwa majaribio kwa ufadhili wa Mradi wa USAID wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma Awamu ya…

Read More

DAWASA YAINGIA MTAANI TEMEKE,TABATA KUTATUA CHANGAMOTO YA MAJI

Watendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) wakiongozwa na Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu Mhandisi Mkama Bwire imepita katika maeneo ya Temeke na Tabata kuangalia hali ya upatikanaji wa huduma ya maji kwa Wananchi na kushuhudia uimarikaji wa huduma katika maeneo ya Soweto, Azimio, Kichangani,Mtongani, Kwa Gude,Lumo, Ikizu Kigilagila, kiwanda…

Read More

Goti lamtibulia Chuku Tabora | Mwanaspoti

BEKI wa kushoto wa Tabora United, Salum Chuku atakuwa nje ya uwanja kwa kwa zaidi ya miezi minne akiuguza jeraha la goti alilolipata Septemba 14, mwaka huu, katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Tanzania Prisons kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora. Chuku amerejea Ligi Kuu msimu huu alipojiunga na Tabora United kwa…

Read More

Shindano la Expanse linakupa mkwanja leo

  Shindano la michuano ya Expanse Kasino linaendelea ambapo limeanza tarehe 4 mwezi huu mpaka tarehe 20 mwezi huu wa 11, Ambapo kupitia shindano hili itawezesha kupata mshindi ambao atajinyakulia kitita. Kama ilivyokua kawaida shindano lolote la Expanse chini ya Meridianbet limekua likihusisha michezo mingi ya Expanse ambayo ndio inakua kete au chachu ya kumfanya…

Read More

HELLO MR.RIGHT MSIMU WA 06 WAZINDULIWA RASMI

ONESHO la Hello Mr Rights kuja na mpango wake baada ya miaka 10 ijayo ya onesho hilo wanatamani kuunganisha vijana wengi wanaotaka wenza na ikiwezekana kuweka historia mpya ya kuwafungisha ndoa za pamoja. Akizungumza na Wanahabari Jijini Dar es Salaam katika uzinduzi wa onesho hilo msimu wa sita, Mkurugenzi wa Masoko na Maudhui wa Startimes…

Read More

Saadun kazi ndo kwanza imeanza

MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Nassor Saadun amesema msimu huu, utakuwa wa kuandika rekodi na kupiga hatua katika karia yake ya soka. Mshambuliaji huyo ambaye hadi sasa ametupia mabao matatu Ligi Kuu akifunga dhidi ya KMC (KMC 0-4 Azam), Prisons (Prisons 0-2) na Coastal Union (Azam -1-0 Coastal), alisema anafahamu ana kazi ngumu na atahitaji kupambana…

Read More

Wahariri uso uso na Waziri Silaa kesho

  JUKWAA la Wahariri nchini (TEF), linatarajia kufanya mkutano wake mkuu wa nane utakaoanza kesho tarehe 7 na kutamatishwa tarehe 9 Novemba jijini Dar es Salaaam huku mgeni rasmi akiwa Jerry Silaa, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari. Anaripoti Faki Sosi Ubwa, Dar es Salaam … (endelea). Akizungumza na waandishi wa Habari leo…

Read More