Sababu zatolewa nauli Dar-Z’bar kupanda

Unguja. Mamlaka ya Usafiri Baharini (ZMA), imetaja sababu tatu za kupandisha bei ya nauli ya boti za mwendokasi zinazofanya safari zake kati ya Unguja na Dar es Salaam. Nauli hiyo imeongezwa katika huduma hiyo  kwa daraja la kawaida kutoka Sh30,000 hadi Sh35,000. Sababu hizo ni kuongeza kwa gharama za mafuta, matumizi ya Dola ya Marekani,…

Read More

WAANDISHI WA HABARI WATAKIWA KUCHANGIZA URITHI WA UTAMADUNI USIOSHIKIKA KUCHOCHEA AJIRA KWA WANAWAKE NA VIJANA

Na Mwandishi Wetu, Mpanda Waandishi wa Habari wa redio jamii Mkoani Katavi wametakiwa kuchagiza urithi wa utamaduni usioshikika ili kuchochea fursa za ajira kwa Wanawake na vijana. Carol Steven, Afisa Michezo, Utamaduni na Vijana Mkoani Katavi ametoa wito huu leo wakati wa mafunzo kwa waandishi wa habari wa redio jamii Mkoani humo. Mafunzo hayo yameandaliwa…

Read More

Medo kuanza na straika Kagera

KOCHA mpya wa Kagera Sugar, Melis Medo amenogewa na ushindi wa mabao 2-1, alioupata akikiongoza kikosi hicho kwa mara ya kwanza mbele ya Dodoma Jiji na anatarajia kufanya maboresho makubwa dirisha dogo hasa eneo la ushambuliaji alililobaini ndilo lenye tatizo. Wakati kocha Medo akifunguka hayo, Mwanaspoti linafahamu tayari mkononi mwake ana jina la mshambuliaji Raizin…

Read More

Tandika jamvi lako na mechi za UEFA leo

  Baada ya jana kushuhudia mechi za UEFA kuendelea, leo hii pia kuna mechi za pesa kibao zinazoenda kupigwa huku wewe ukiwa na nafasi ya kuibuka bingwa. Suka jamvi lako na Meridianbet sasa. Mapema kabisa vijana wa Unai Emery Aston Villa baada ya kupokea kichapo cha maana kwenye ligi, leo hii watakuwa ugenini kumenyana dhidi…

Read More

Hekaheka kuvunjwa, kurejea Jiji la Dar es Salaam

Dar es Salaam. Baadhi ya wadau, wakiwamo wa masuala ya sheria wamekuwa na maoni tofauti kuhusu kurejeshwa Jiji la Dar es Salaam, wakitaka sheria ya mamlaka za Serikali za mitaa ziwe na nguvu zaidi. Ikiwa ni zaidi ya miaka miwili tangu Februari 24, 2021 jiji hilo lilipovunjwa, Oktoba 24, 2024 Waziri wa Nchi, Ofisi ya…

Read More

Mastaa KenGold kikaangoni | Mwanaspoti

WAKATI wadau na mashabiki wa soka nchini wakiitabiria kushuka daraja Ken Gold kutokana na matokeo waliyonayo, uongozi wa timu hiyo umesema unaenda kufanya maamuzi magumu bila kuangalia sura ya mtu. Maamuzi hayo ni kuachana na zaidi ya wachezaji 10 na kuongeza wengine wapya nane kwa ajili ya kuinusuru timu hiyo na aibu ya kushuka daraja…

Read More

WAKURUGENZI WAELEKEZWA KUFANYA MSAWAZO WA WALIMU

Naibu Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI Mhe. Zainab Katimba amewaelekeza wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini kuhakikisha wanafanya msawazo wa walimu kwa kuzingatia bajeti ndani ya Halmashauri ili kutengeneza uwiano sawa kwa shule zote za mijini na vijijini. Mhe. Katimba ametoa maelekezo hayo bungeni jijini Dodoma kwa niaba ya Waziri wanchi Ofisi ya Rais -TAMISEMI…

Read More

Kupanda kwa kilimo cha kasumba ya Afghanistan kunaonyesha ugumu wa kiuchumi, licha ya marufuku ya Taliban – Masuala ya Ulimwenguni

Kurudi nyuma kunafuata a kupungua kwa asilimia 95 mwaka 2023wakati marufuku hiyo ilipokaribia kukomesha uzalishaji wa poppy nchi nzima, na kusababisha kupungua kwa kasumba ya Afghanistan. Hata hivyo, wakati kilimo kimeongezeka, viwango vya sasa vinabaki chini sana kuliko mwaka wa 2022, ambao ulishuhudia hekta 232,000 chini ya kilimo cha poppy. UNODC Mkurugenzi Mtendaji Ghada Waly…

Read More