Latra Morogoro yasisitiza matumizi ya sheria za usalama barabarani mwisho wa mwaka

Afisa mfawidhi wa Mamlaka ya uthibiti wa usafiri ardhini (LATRA) Mkoa wa Morogoro Andrew Mlacha amesema ajali nyingi zinazotokea barabarani zinasababishwa na makosa ya kibinadamu. Mlacha amesema hayo wakati akizungumza na Madereva wa kampuni ya Abood wakati wakipatiwa mafunzo maalum ya kukumbushwa kutii na kufuata Sheria za usalama barabarani ili kuepuka ajali zisizo za lazima….

Read More

Usisubiri wakuchagulie, nenda kamchague mwenyewe kiongozi wako

Dar es Salaam. Katika kila jamii inayothamini maendeleo na haki, uchaguzi ni mchakato wa kipekee unaowezesha kila raia kuchagua kiongozi atakayesimamia vipaumbele vya jamii. Uchaguzi wa serikali za mitaa una nafasi muhimu kwani unaruhusu mtu kuchagua kiongozi anayemfahamu vizuri, anayeishi karibu naye na anayeweza kumwakilisha ipasavyo katika mambo ya msingi. Hii ndiyo nguvu ya demokrasia…

Read More

Abalkassim aijutia kadi, aomba radhi

MSHAMBULIAJI wa Fountain Gate, Abalkassim Suleiman amesema anajutia kitendo cha kuonyeshwa kadi nyekundu katika mchezo wa juzi dhidi ya Pamba, huku akiweka wazi, ndio chanzo kikubwa cha kikosi hicho kupoteza kwa kufungwa kwa mabao 3-1. Katika mchezo huo uliopigwa kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa Manyara, mshambuliaji huyo alipata kadi nyekundu dakika ya 39, baada ya…

Read More

Nchi za Afrika zahimizwa kuongeza watafiti wanawake

Arusha. Wito wa kuongeza watafiti wanawake umetolewa kwa nchi za Afrika ili kupunguza vikwazo ikiwemo unyanyasaji wa kijinsia, ukosefu wa upatinakaji wa fedha za ruzuku za utafiti. Kwa mujibu wa Ripoti ya Sayansi ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (Unesco), mwaka 2021 ni asilimia 33 tu ya watafiti wanawake duniani….

Read More

Trump arejea White House kwa kishindo – DW – 06.11.2024

Ushindi wa Mrepublican huyo mwenye utata, ukifuatia moja ya kampeni zenye uhasama zaidi katika historia ya kisasa ya Marekani, ulikuwa wa kushangaza zaidi ikizingatiwa mkururo wa mashtaka yasiyo na kifani yaliyofunguliwa dhidi yake, jaribio la kuuawa, na onyo kutoka kwa mkuu wake wa zamani wa utumishi kwamba yeye ni “fashisti.” “Ni ushindi wa kisiasa ambao…

Read More

Trump ajitangazia ushindi, kura zaendelea kuhesabiwa

Florida. Mgombea urais wa Republican, Donald Trump amejitangazia ushindi katika uchaguzi wa Marekani alipokuwa akiwahutubia wafuasi wake waliojawa furaha huko Florida wakati kura katika majimbo muhimu zikiwa bado zinahesabiwa. Hadi sasa, Trump amepata kura za majimbo 267 huku mpinzani wake, Kamala Harris akipata kura 224. Mshindi wa uchaguzi huo anatakiwa kupata kura 270, hivyo, Trump…

Read More

Msuva, Kapombe warejeshwa Stars ikiziwinda Ethiopia, Guinea

KAIMU Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars‘, Hemed Suleiman ‘Morocco’ ameita kikosi cha wachezaji 26 watakaoingia kambini kesho kwa ajili ya michezo miwili ya kufuzu michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon), itakayofanyika mwakani Morocco, huku beki wa Simba, Shomari Kapombe akijumuishwa. Stars iliyopo kundi ‘H’ ina kibarua cha kupambana…

Read More

Mzaliwa wa Kenya ashinda ubunge Marekani

Minnesota. Huldah Momanyi Hiltsley, mzaliwa wa Kenya, ameweka historia kwa kushinda kiti katika Baraza la Wawakilishi la Minnesota kwa zaidi ya asilimia 64 ya kura. Hiltsley alishindana na Wynfred Russell, kiongozi wa jumuiya ya wazaliwa wa Liberia na mjumbe wa zamani wa Baraza la Jiji la Brooklyn Park. Katika hotuba yake ya baada ya kuchaguliwa,…

Read More