Trump ajitangaza mshindi wa urais Marekani – DW – 06.11.2024

Matokeo ya awali yanaonesha Donald Trump anaongoza. Matokeo rasmi hayajatangazwa, lakini Donald Trump ameshajitangaza mshindi. Kura za uchaguzi wa urais Marekani zaendelea kuhesabiwa Trump ametangaza kushinda urais akisema ni ushindi wa kihistoria ambao haujashuhudiwa nchini humo. Kwenye hotuba mbele ya ushindi kwa wafuasi wake huko Palm Beach, Florida Trump aliyeongozana na familia yake, alikiri matokeo haya…

Read More

Kapinga atoa maagizo Tanesco – Millard Ayo

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga kwa niaba ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amemuagiza Mkurugenzi Mtendaji TANESCO, Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga kufanya mapitio ya maeneo ya Vijiji ambayo yanalipishwa bei ya mjini kuunganisha umeme ili yaweze kulipa bei stahiki ya Vijiji ambayo ni shilingi 27,000.   Mhe. Kapinga…

Read More

Trump aukaribia ushindi Marekani | Mwananchi

Washington D.C. Mgombea urais wa Marekani kupitia chama cha Republican, Donald Trump ameshinda katika majimbo mawili muhimu ya North Carolina na Georgia, hivyo kujiweka katika nafasi nzuri ya ushindi. Hadi sasa, Trump amepata kura za majimbo (electoral college) 248 huku mpinzani wake, Kamala Harris akipata kura 214. Ili kutangazwa mshindi, lazima mgombea apate kura 270…

Read More

Kirusi kilichoichinja ANC kimeiua BDP Botswana

CCM inaendelea kuwa chama kikongwe kilicho salama madarakani. Hupepesuka kwa nadra, lakini mwisho hubaki imara. Inaonekana CCM ina kinga imara dhidi ya ugonjwa unaoviua vyama vyenye kuitwa “vya ukombozi” Afrika. Botswana Democratic Party (BDP), chama cha ukombozi Botswana, kilichoasisiwa na Baba wa Taifa hilo, Seretse Khama kikalindwa na mwanasiasa mwenye heshima kubwa, Ketumile Masire pamoja…

Read More

Pumzika salama Jenerali David Musuguri

Mpendwa Jenerali David Bugozi Waryoba Musuguri Nzangho aka Chakaza (RIP). Kwanza, nakupigia saluti ya mwisho kama mgeshi aliyelala. Pili, niseme wazi. Najua hutapokea wala kujibu saluti yangu kama kiongozi na mkuu wa mafyatu. Nenda salama salimini ukijua kuwa mafyatu watakumiss sana. Ulikuwa fyatu wa kupigiwa mfano. Siombolezi bali nasherehekea kuondoka kwako. Old soldiers never die,…

Read More

Kigogo kiwanda cha Dangote matatani

Dodoma. Mbunge wa Mtwara Mjini (CCM), Hassan Mtenga amehoji kwa nini Serikali inapata kigugumizi cha kumuondoa Meneja Rasilimali Watu wa Kiwanda cha Dangote ambaye ni raia Nigeria wakati nafasi hiyo inatakiwa kuwa ya Mtanzania licha ya kulalamikiwa miaka mitatu sasa. Mtenga amehoji swali hilo leo Jumatano Novemba 6, 2024 wakati alipokuwa akiuliza maswali bungeni jijini…

Read More

Fei afungukia majukumu mapya Azam

KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amesema sababu za kuanza taratibu kucheka na nyavu katika Ligi Kuu Bara msimu huu zinatokana na namna alivyobadilishiwa majukumu ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Mmoroco, Rachid Taoussi. Fei Toto ambaye msimu uliopita alikuwa akifanya majukumu ya washambuliaji, alifunga mabao 19 nyuma ya kinara Stephane Aziz…

Read More