TANZANIA KUWA MWENYEJI MKUTANO WA KIKANDA KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA SADC UNAOHUSU MATUMIZI YA NISHATI

Na Said Mwishehe, Michuzi TV TANZANIA inatarajia kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Kikanda kwa nchi za Afrika Mashariki na Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) unaohusu masuala ya Matumizi Bora ya Nishati. Mkutano huo utafanyika jijini Arusha kuanzia Desemba 4 mpaka Desemba 5 mwaka huu na umeandaliwa na Serikali ya Tanzania kwa Kushirikiana…

Read More

TRA, ZBS kurahisisha shughuli za biashara Zanzibar

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Uhakika na usalama wa mizigo inayopitia Zanzibar sasa utaongezeka baada ya Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) kuingia makubaliano na Shirika la Viwango Zanzibar (ZBS) kwa lengo la kurahisisha shughuli za biashara. Kauli hiyo imetolewa leo Novemba 5,2024 jijini Dar es Salaam na Kamishna Mkuu wa TRA, Yusuf Mwenda, wakati wa…

Read More

VIDEO: RC Chacha apiga marufuku uuzaji majeneza nje ya hospitali

Tabora. Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha amemuagiza katibu tawala wa mkoa huo kutenga maeneo maalumu kwa ajili ya wafanya biashara wa majeneza ili waondoe shughuli zao nje ya Hospitali ya Kitete. Amesema kuendelea kufanya biashara hiyo  maeneo hayo tena hadharani, kunatajwa kuongeza hofu kwa wagonjwa wanaopelekwa kupata matibabu pindi wayaonapo yamepangwa nje. Mkuu…

Read More

Ushirika wa Meksiko Unakuza Mpito wa Nishati kwenye Ardhi za Wenyeji – Masuala ya Ulimwenguni

Wanachama wa chama cha ushirika cha wanawake cha Masehual Siumaje Mosenyolchicauani, wanaofundisha ufumaji na ufundi mwingine wa watu wa Nahua, huko Cuetzalan del Progreso, katikati mwa Meksiko. Credit: Kwa hisani ya Taselotzin na Emilio Godoy (jiji la mexico) Jumanne, Novemba 05, 2024 Inter Press Service MEXICO CITY, Nov 05 (IPS) – Kilichoanza kama jaribio pana…

Read More

MAPATO YAPAA KISHAPU, MADIWANI WAANIKA CHANGAMOTO ZA BARABARA, ZAHANATI, SHULE

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga Mhe. Willium Jijimya akizungumza kwenye kikao cha madiwani na wataalam kikao cha kupokea taarifa za utekelezaji shughuli mbalimbali za maendeleo robo ya kwanza 2024/2025 kilichofanyika Novemba 5,2024 katika ukumbi wa Halmashauri hiyo. Picha na Sumai SalumMkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga Bw.Emmanuel…

Read More