Auawa madai ya kufumaniwa na mke wa mtu, mkewe asema..

Geita. Faida Deus (34), Mkazi wa Bugalama Wilaya ya Geita ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali za mwili wake, huku chanzo kikitajwa ni wivu wa mapenzi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Safia Jongo akizungunza na waandishi wa habari leo Jumanne, Novemba 5, 2024 amesema marehemu alikatwa maeneo ya kichwani, utosini…

Read More

Wizara yaeleza fursa za uwekezaji sekta ya nishati nchini

Wizara ya Nishati imetumia jukwaa la Mkutano wa Wiki ya Nishati Afrika unaofanyika Jijini Cape Town Afrika ya Kusini kueleza fursa za uwekezaji zilizopo katika sekta ya nishati Tanzania na kukaribisha wawekezaji kuchangamkia fursa hizo. Wizara kupitia wasilisho lililofanywa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia masuala ya mafuta na gesi, Dkt. James Mataragio…

Read More

Mauya: Ni msimu wa akili, mbinu

WAKATI kukiwa na ushindani mkubwa katika Ligi Kuu Bara msimu huu, kiungo wa Singida Black Stars, Zawadi Mauya amesema ili timu ipate matokeo mazuri nyumbani na ugenini, inahitajika wachezaji kutumia mbinu, akili na kucheza kwa kiwango cha juu muda wote. Kiungo huyo aliifafanua kauli yake akiitolea mfano Yanga ilivyokuwa inafunga mabao mengi msimu uliopita na…

Read More

Auwa madai ya kufumaniwa na mke wa mtu

Geita. Faida Deus (34), Mkazi wa Bugalama Wilaya ya Geita ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali za mwili wake huku chanzo kikitajwa ni wivu wa mapenzi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Safia Jongo akizungunza na waandishi wa habari leo Jumanne, Novemba 5, 2024 amesema marehemu alikatwa maeneo ya kichwani, utosini…

Read More

Adam anahitaji hiki kufunga | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Adam Adam amesema anahitaji kupata utulivu mkubwa ili kubaki katika njia sahihi ya kuhakikisha msimu huu anakuwa na muendelezo wa kufunga kama alivyofanya msimu uliopita akiwa Mashujaa. Msimu uliopita ndani ya Ligi Kuu Bara, Adam alimaliza na mabao saba, kitu anachokitamani kiwe na muendelezo na ikiwezekana azidi idadi hiyo na kuandika…

Read More

Mbaroni wakituhumiwa kumuua mfanyabiashara wa madini Chunya

Mbeya. Jeshi la Polisi linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara wa madini, Peter Bruno (59), kwa kupigwa risasi akiwa nyumbani kwake, Oktoba 12, mwaka huu.  Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumanne, Novemba 5, 2024, amesema Bruno alipigwa risasi mgongoni akiwa nyumbani kwake, Kata ya…

Read More

Vigogo Simba, Yanga waibukia Singida Black Stars

Vigogo waliowahi kushika nyadhifa mbalimbali kwenye timu za Simba na Yanga kwa nyakati tofauti wametangazwa na Singida Black Stars kushika nyadhifa mbalimbali kwenye klabu hiyo. Viongozi hao waliowahi kuongoza Yanga na sasa wako Singida ni pamoja na Omary Kaya ambaye ameteuliwa kuwa makamu mwenyekiti. Kabla ya kujiunga na Singida Black Stars, Kaya alikuwa mtendaji mkuu…

Read More

MAPATO  YAPAA KISHAPU,MADIWANI WAANIKA CHANGAMOTO ZA BARABARA, ZAHANATI, SHULE 

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga  Mhe. Willium Jijimya akizungumza kwenye kikao cha madiwani na wataalam kikao cha kupokea taarifa za utekelezaji shughuli mbalimbali za maendeleo robo ya kwanza 2024/2025 kilichofanyika Novemba 5,2024 katika ukumbi wa Halmashauri hiyo. Picha na Sumai Salum Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga…

Read More