Kipre aanika faili la Aziz KI, Dube MC Alger

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Azam FC, ambaye kwa sasa anakipiga MC Alger, Kipre JR amewaambia wenzie kwamba Stephane Aziz Ki na Prince Dube kuwa ndio wachezaji wa kuchungwa ili wasiwaadhibu kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika ambako watakutana baada ya kupangwa kundi moja na Yanga. Yanga ipo kundi A sambamba na MC Alger, Al Hilal na…

Read More

Meridianbet Foundation yaendelea kuigusa mitaa

Meridianbet Foundation leo imetimiza miaka mitano ya kuhakikisha wanarudisha kwenye jamii kupitia kwa kufanya udhamini wa kielimu (Scholarship) kwa vijana ambao wamekua wakifanya vizuri mashuleni. Meridianbet kupitia Foundation yake kwa miaka yote mitano wamekua wakihakikisha wanawasaidia vijana mbalimbali ambao wamekua wakifanya vizuri kimasomo na kugharamikia gharama zote za kielemu kwajili ya kuhakikisha vijana hao wanafanikiwa…

Read More

‘Dk Manguruwe’ kortin akikabiliwa na mashitaka 28 yakiwemo kuendesha biashara ya upatu

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Kampuni ya Vanilla International Ltd, Simon Mkondya (40), maarufu Dk Manguruwe na Mkaguzi wa kampuni hiyo, Rweyemamu John (59) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka 28 yakiwemo ya kuendesha biashara ya upatu na utakatishaji fedha kinyume cha sheria. Inadaiwa washtakiwa hao walijipatia Sh92.2 milioni kutoka kwa…

Read More

Hatua za Israel za kupiga marufuku UNRWA-Inaashiria kutokuwa na uhakika kwa Wapalestina walioathiriwa – Masuala ya Ulimwenguni

Danny Danon, Mwakilishi wa Kudumu wa Israel katika Umoja wa Mataifa akihutubia katika mkutano wa Baraza la Usalama kuhusu hali ya Mashariki ya Kati. Credit: UN Photo/ Evan Schneider. na Naureen Hossain (umoja wa mataifa) Jumanne, Novemba 05, 2024 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Nov 05 (IPS) – Uamuzi wa bunge la Israel, Knesset,…

Read More

Watanzania waaswa matumizi bora ya umeme

Dar es Salaam. Watanzania wametakiwa kuzingatia matumizi bora ya umeme kwa kuacha kutumia vifaa vingi kwa wakati mmoja kama havina ulazima ikiwamo pasi, redio na jiko ili kuepuka upotevu wa nishati hiyo. Rai hiyo inakuja wakati kiango cha upotevu wa umeme kwa sasa nchini ni asilimia 14, kutoka 21 mwaka 2018 huku lengo ikiwa ni…

Read More

Uzalishaji wa umeme Tanzania wafikia Megawati 2,600

Dodoma. Naibu Waziri Mkuu, Dk Doto Biteko amesema uwezo wa kuzalisha umeme uliounganishwa kwenye gridi ya Taifa sasa umefikia megawati 2,607 na mradi wa kufua umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) unachangia karibia asilimia 50 ya umeme huo. Akizungumza leo Jumanne, Novemba 5, 2024 wakati wa jukwaa la uziduaji linaloendelea Jijini Dodoma, Biteko ambaye pia ni…

Read More

RC BATILDA AHIMIZA UPIGAJI KURA TANGA UWE ASILIMIA 100

Na Oscar Assenga, Tanga MKUU wa Mkoa wa Tanga, Mhe Balozi Dk Batilda Burian, amewahimiza Wakuu wa Wilaya na Wasimamizi wa Uchaguzi mkoani humo, kuhakikisha upigaji kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, mwaka huu, unafikia asilimia 100. Mhe Balozi Dk Batilda ameyasema hayo Novemba 4, 2024 alipofanya ziara ya kukagua maandalizi ya…

Read More