NCAA YANADI VIVUTIO VYA UTALII MAONESHO YA “WORLD TRAVEL MARKET LONDON” UINGEREZA

Mamlaka ya Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) inashiriki Maonesho ya “World Travel Market London 2024” ambayo yanafanyika katika jiji la London, Uingereza kuanzia tarehe 5- 7 Novemba, 2024. Maonesho hayo ambayo taasisi mbalimbali za Wizara ya Maliasili na Utalii zinashiriki, NCAA inatumia fursa hiyo kunadi vivutio vya utalii ikijumuisha uzuri wa asili wa Ngorongoro,…

Read More

‘Dk Manguruwe’ aburuzwa kortini kwa uhujumu uchumi

  MFUGAJI maarufu nchini pia Mmiliki wa Kampuni ya Vanilla Internation Ltd Simon Mkondya (40), ‘Dk Manguruwe’ na mwenzake wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka 28. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Katika kesi hiyo, Mkondya na Mwenzake Rweyemamu John ambaye ni Mkaguzi kampuni…

Read More

Eagles yatinga fainali MRBA | Mwanaspoti

EAGLES imetinga fainali baada ya kuifunga Young Profile kwa pointi 73-51, katika nusu fainali ya pili ya Ligi ya Kikapu Mkoa wa Mwanza (MRBA), katika uwanja wa Mirongo. Katika mchezo huo, Eagles ilishinda pointi 73-51 baada ya awali kushinda 73-72 kwenye mchezo wa pili kati ya mitatu ya ‘best of three play off, hivyo kuwa…

Read More

CHUKUA MSHIKO WAKO MAPEMA NA UEFA LEO

  WIKENDI imeisha sasa na Jumanne ya leo Ligi ya Mabingwa Ulaya inatarajiwa kuendelea mabpo timu kali leo zipo uwanjani kusaka pointi 3 muhimu. Na wewe ingai Meridianbet utafute ushindi. Mechi za mapema zipo mbili ambazo zinachezwa saa 2:45 usiku PSV baada ya kutoa sare mechi yake iliyopita atakipiga dhidi ya Girona aliyeshinda. Meridianbet wanampa…

Read More

TBT yabeba ubingwa Kigoma | Mwanaspoti

TBT imetawazwa mabingwa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Kigoma, baada ya kuifunga Wavuja jasho kwa pointi 62-61, katika fainali ya tano iliyofanyika Uwanja wa Lake Side. Fainali hiyo ilichezwa kwa timu kucheza mara saba ‘best of seven play off’, TBT ilishinda michezo 5-1. Katika mchezo wa kwanza, TBT ilishinda kwa pointi 52-50, 78-67 na wa…

Read More

Korea Kusini lawamani kukandamiza uhuru wa dini

  SERIKALI ya mitaa nchini Korea Kusini imefuta hafla kubwa ya kimataifa iliyokusudia kuwaleta pamoja washiriki 30,000 kutoka nchi 78, jambo ambalo limeibua mjadala mkali kuhusu uhuru wa kidini duniani. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Kufutwa kwa mkutano wa viongozi wa kidini na sherehe ya kuhitimu huko Paju, Korea Kusini, kumezua mjadala…

Read More

Dk Manguruwe afikishwa mahakamani, asomewa mashtaka 28

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Kampuni ya Vanilla International Ltd, Simon Mkondya (40) maarufu kwa jina la Dk Manguruwe na mkaguzi wa kampuni hiyo, Rweyemamu John (59) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka 28 yakiwamo ya kuendesha biashara ya upatu na kutakatisha fedha, kinyume cha sheria. Washitakiwa hao wamefikishwa mahakamani hapo,…

Read More