Polisi yaifinya Stein Warrious Divisheni 1

POLISI imeonyesha ubabe wake kwenye Ligi ya Kikapu Divisheni 1 baada ya kuichapa Stein Warrious kwa pointi 71-58, kwenye Uwanja wa Donbosco Oysterbay. Katika mchezo huo, ulikuwa na ushindani mkubwa kama fainali na Stein ilianza robo ya kwanza kwa uweleano mkubwa, huku Polisi ikionekana kucheza taratibu. Hadi robo hiyo inamalizika Stein ilikuwa mbele kwa pointi…

Read More

BIL 18 ZIMEHUSISHA MATENGENEZO MIUNDOMBINU YA BRT (FERRY-KIMARA, MAGOMENI-MOROCCO NA FIRE-MSIMBAZI) SIO MRADI WA JANGWANI PEKEE

Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Dar es Salaam inatekeleza mradi wa matengenezo (maintenance) ya miundombinu ya mabasi yaendayo haraka (BRT) awamu ya kwanza chini ya mradi wa OPBRC (Output and Performance-Based Road Contract) uliosainiwa rasmi tarehe 07 Septemba 2018. Mradi huu ni wa muda mrefu (Long term contract) ulianza rasmi tarehe 01 Aprili…

Read More

NEWZ ALERT:DKT. MANGURUWE KIZIMBANI KWA UPATU

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv  MKURUGENZI Mwanzilishi wa Kampuni ya Vanilla International Ltd, Simon Mkondya (40) maarufu kwa jina la  Dkt. Manguruwe  na mwenzake wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka 28. Katika kesi hiyo, Mkondya na Mwenzake Rweyemamu John ambaye ni Mkaguzi wa kiwanda hicho wanakabiliwa…

Read More

Hii hapa sababu ya Kapombe na Tshabalala kubaki Simba

KWA muda mrefu, Simba SC imekuwa ikiimarisha kikosi chake katika vipindi tofauti vya usajili. Maboresho hayo huwa yanagusa maeneo yote ya uwanja kuanzia golikipa, mabeki, viungo na washambuliaji. Mwanzoni mwa msimu huu, Simba ilifanya usajili wa wachezaji 15 ambapo waligusa maeneo yote, kisha baadaye wakamuongeza mwingine. Golini wamemuongeza Moussa Camara ambaye amekuja kuungana na Ally…

Read More

Bil 18 zimehusisha matengenezo miundombinu ya BRT (ferry-kimara, magomeni-morocco na fire-msimbazi)

Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Dar es Salaam inatekeleza mradi wa matengenezo (maintenance) ya miundombinu ya mabasi yaendayo haraka (BRT) awamu ya kwanza chini ya mradi wa OPBRC (Output and Performance-Based Road Contract) uliosainiwa rasmi tarehe 07 Septemba 2018. Mradi huu ni wa muda mrefu (Long term contract) ulianza rasmi tarehe 01 Aprili…

Read More

Ukosefu chombo cha usuluhishi wachochea migogoro kazini

Unguja. Utafiti uliofanywa na Shirika la Kazi Duniani (ILO) umebainisha sekta ya umma hakuna chombo cha majadiliano kitakachosaidia kuleta uhusiano mwema kati ya wafanyakazi na mwajiri serikalini. Hayo yamebainika leo Jumanne, Novemba 5, 2024 wakati wa kuthibitisha ripoti ya uhusiano kazini katika sekta za umma Unguja na kuwashirikisha wadau mbalimbali. Mtaalamu elekezi  aliyehusika katika utafiti huo,…

Read More

Ajuza kesi ya kusafirisha tani moja ya bangi upelelezi bado 

Dar es Salaam. Mshitakiwa Felista Mwanri (70) na wenzake watano wanaokabiliwa na shitaka la kusafirisha tani moja ya dawa za kulevya aina ya bangi wanaendelea kushikiliwa rumande kutokana na upelelezi wa shauri hilo kutokukamilika. Wakili wa Serikali, Rhoida Mwakamele leo Novemba 5, 2024 mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Godfrey Mhini amedai upelelezi unaendelea, hivyo ameiomba…

Read More

kongamano la kimataifa la Umoja wa Mataifa lafunguliwa mjini Cairo kutafakari upya maendeleo ya miji – Masuala ya Ulimwenguni

The Jukwaa inaitishwa kila baada ya miaka miwili na Mpango wa Umoja wa Mataifa wa Makazi, unaojulikana kama UN-Habitat. Mwaka huu ni mara ya kwanza kwa mkutano huo kufanyika katika jiji kubwa – wakazi wa Cairo zaidi ya milioni 20 wanaifanya kuwa mojawapo ya maeneo makubwa zaidi ya mijini duniani – mandhari bora ya majadiliano…

Read More

MSD WATEMBELEA OFISI ZA MAKAO MAKUU CRDB BANK

Katika hatua ya kuongeza ujuzi katika utoaji wa huduma kwa wateja Watumishi wa Bohari ya Dawa (MSD) wa Kurugenzi ya Ugavi wanaofanya kazi kwenye Idara ya Huduma kwa Wateja wametembelea Ofisi za Makao Makuu ya Benki ya CRDB zilizopo jijini Dar es Salaam. Lengo la ziara hiyo ni kubadilishana uzoefu na kujifunza namna Benki hiyo…

Read More

Waliotuhumiwa kumuua dereva wa bodaboda wafikishwa kortini

Morogoro. Wakazi wanne wa wa Ifakara wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya mkoani Morogoro kwa tuhuma za mauaji ya dereva wa bodaboda, Shabani Mhawile. Washitakiwa hao ni Denis Swai maarufu kama Nkane, (34), Athumani Mpango (38), Musa Bushiri (28) na Alhaji Likwaya (32). Akiwasomea shitaka hilo la mauaji mahakamani hapo, Wakili wa Serikali, Simon Mpina…

Read More