Fox Divas yapiga mkwara NBL

BAADA ya Fox Divas ya Mara kushindwa kufuzu kucheza mashindano ya ubingwa wa Afrika (AWBL), Mkurugenzi mtendaji wa timu hiyo, Aloyce Renatus amesema hasira zao kwa sasa wamezielekeza katika Ligi ya Taifa (NBL). Mashindano hayo ya kufuzu yalifanyika mjini Zanzibar na  Eli-hillay ya Misri na Reg ya Rwanda ndizo zilizofuzu mashindano hayo.  Timu hizo zitaungana…

Read More

Uchaguzi TOC kimeeleweka, mrithi wa Bayi kuajiriwa

Kamisheni ya uchaguzi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), imesema uchaguzi wa Kamati hiyo msimu huu utafanyika Desemba 14 mjini Dodoma. Nafasi 12 zitawania huku ile ya katibu mkuu inayoshikiliwa na mwanariadha wa zamani, Filbert Bayi ikiondolewa kwenye zile zinazopigiwa kura baada ya katiba kufanyiwa mabadiliko na sasa itakuwa ya kuajiriwa. Nafasi nyingine itakayokuwa ya…

Read More

Fainali ya kwanza BDL, JKT Vs UDSM ilikuwa sio poa

Fainali ya kwanza ya Ligi ya Kikapu Dar es Salaam (BDL) iliyozikutanisha JKT na UDSM Outsiders iliisha kibabe kwenye Uwanja wa Donbosco Oysterbay timu hizo zikionyeshana ushindani na ufundi. Licha ya kupoteza kwa pointi 67-62, UDSM iliipa mtihani JKT iliyoibuka na ushindi na sababu kubwa ni wachezaji wa timu hiyo kupoteza mipira ‘turnover’ na JKT…

Read More

Kombora la hivi punde la DPR Korea lazindua 'tishio kubwa' kwa utulivu wa kikanda – Masuala ya Ulimwenguni

Kombora hilo lililorushwa tarehe 31 Oktoba takriban saa 7:11 asubuhi kwa saa za huko, liliripotiwa kuruka kwa muda wa saa 1 na dakika 26, lilisafiri takriban kilomita 1,000, na kufikia mwinuko wa zaidi ya kilomita 7,000 kabla ya kutua baharini. “DPRK ilielezea uzinduzi huu wa hivi punde kama 'jaribio muhimu sana' ambalo 'lililisasisha rekodi za…

Read More

Ubunifu ulivyofaulisha wanafunzi darasa la saba

Dar es Salaam. Kuna msemo wa Kiswahili usemao ‘kitu ukikipenda utakifanya kwa moyo na kutamani kupata matokeo chanya katika kile unachokifanya.’ Bila kujali matokeo yatachukua muda gani, lakini utaweka nia huku ukiongeza ubunifu, uvumbuzi ili kuhakikisha malengo yako yanafikiwa. Hivi ndivyo ilivyokuwa kwa mwalimu Yusuph Pangoma, ambaye sasa anajivunia wanafunzi wake kupata matokeo mazuri ya…

Read More

Judith Ngusa kuiwakilisha Tanzania Miss Universe Mexico

Shindano la 73 la Miss Universe linapokaribia, washiriki 19 wa Kiafrika wako tayari kuonyesha vipaji, ulimbwende na tamaduni bila kusahau utetezi wa nchi zao nchini Mexico mnamo Novemba. Shindano la mwaka huu linawashirikisha wawakilishi kutoka nchi mbalimbali huku Tanzania ikiwakilishwa na Judith Peter Ngusa, mshindi wa taji la Miss Universe Tanzania 2024. Mrembo huyu ni…

Read More